Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, October 22, 2015

BONDIA LULU KAYAGE AZIDI KUJIFUA KWA AJILI YA MAPAMBANO YA KITAIFA NA KIMATAIFA


Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' akimnowa bondia Lulu Kayage wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa na mpambano wake wa kugombania mkanda wa taifa desemba 25 na bondia Mwanne Haji mpambano utakaofanyika mkoa wa Morogoro katika uwanja wa jamuhuri picha na SUPER D BOXING NEWS



BONDIA LULU KAYAGE
Bondia Lulu Kayage kushoto akielekezwa na kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi Rajabu Mhamila 'Super D'  jinsi ya kupiga ngumi za mkunjo wa chini 'upcut' ambazo zinapigwa mbavuni Kayage anajiandaa na mipambano yake mbalimbali ya kitaifa na ya kimataifa picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' akimnowa bondia Lulu Kayage wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa na mpambano wake wa kugombania mkanda wa taifa desemba 25 na bondia Mwanne Haji mpambano utakaofanyika mkoa wa Morogoro katika uwanja wa jamuhuri picha na SUPER D BOXING NEWS

Na Mwandishi Wetu

BONDIA wa kike Lulu Kayage ameingia kambini kwa ajili ya mapambano yake ya kimataifa na kitaifa yatakayo mkabili siku za usoni bondia huyo ambaye ana uchu wa kufika mbali katika mchezo wa masumbwi nchini

ambapo Desemba 25 ata pambana na bondia Mwanne Haji kugombania ubingwa wa taifa katika mpambano wa raundi kumi utakao fanyika katika uwanja wa jamuhuri Morogoro

bondia huyo aliye onesha hudhubutu wa kumtwanga Winnie Mphahlele wa Afrika ya kusini mpambano uliofanyika Town Hall, katika mji wa Limpopo, South Africa kwa T.K.O ya raundi ya tatu kwenye mpambano wa raundi sita amekuwa tishio katika ukanda wa afrika na anataka kudhilisha kuwa yeye ni zaidi ya mabondia wengine

bondia huyo anaenolewa na jopo la makocha likiongozwa na Habibu Kinyogoli 'Masta' uku kocha na mshauli wa karibu wa bondia huyo akiwa ni Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye anaratibu mapambano mbalimbali ya bondia huyo ndani na nje ya nchi

Kayage ametamba kumsambalatisha mwanne Haji kama alivyo mfanya mkaburu wakati wa mpambano wake uliofanyika agost 9 uko afrika ya kusini na kuendeleza ubabe wake

na kocha Rajabu Mhamila 'Super D' aliongeza kwa kusema Lulu ana moyo wa mazoezi na anajituma hivyo watanzania watambue wamepata mwokozi atakaeleta furaha katika mioyo yao na kuipeperusha vema bendera ya taifa nchini kwa kuwa nia anayo uwezo anawo


Saturday, October 17, 2015

MABONDIA YONAS SEGU NA IDI PIALALI WAPIMA KUZITO KUZIPIGA KESHO JUMAPILI




Mratibu wa mpambano wa masumbwi Antony Rutta Katikati akiwainuwa mikono juu mabondia Yonas Segu kushoto na Idi Pialali kwa ajili ya mpambano wao wa jumapili hii katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaam Picha na SUPERD BOXING NEWS

Bondia Yonas Segu kushoto akitunishiana misuli na Idi Pialali mara baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa kesho jumapili utakaofanyika katika ukumbi wa Frends corner Manzese Dar es salaam Picha na SUPERD BOXING NEWS
Bondia Ismail Ndende kushoto akitambiana na Mwinyi Mzengela baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao kesho jumapili Picha na SUPERD BOXING NEWS

BONDIA VICENT MBILINYI AMPIGIA MIKWALA DEO NJIKU KUPAMBANA DESEMBA 25


BONDIA VICENT MBILINYI


Na Mwandishi Wetu

BONDIA Vicent Mbilinyi amesaini mkataba wa kuzipiga na Deo Njiku wa Morogoro siku ya Desemba 25 katika uwanja wa jamuhuri morogo wakisindikiza mpambano wa Fransic Cheka na Thomasi Mashali mpambano uho wa raundi sita

utakuwa wa kwanza kwa bondia Mbilinyi kucheza mkoa wa morogoro akizungumzia mpambano huo bondia huyo amesema kuwa anamjua mpinzani wake vizuri kutokana na ukongwe wake kwa kuwa alianza zamani kupigana ata hivyo mimi nina jiamini na nitamkalisha katika raundi za awali

bondia huyo alieweka kambi yake mkoa wa pwani maeneo ya Kibaha ambapo ameweka kambi yake kwa ajili ya mpambano huo
bondia huyo anaefundishwa na Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi ncini Rajabu Mhamila 'Super D' amejizatiti kumtwanga vizuri tu Deo njiku ili ajisafishie njia ya kuwa bingwa wa mchezo wa masumbwinchini
nae Kocha wake Rajabu Mhamila 'Super D;' aliongeza kwa kusema kuwa ana matumaini na bondia wake kwa kuwa na rekodi nzuri ya mchezo ambapo mpaka sasa amecheza michezo 7 kashinda 5 droo 1 na kupoteza 1 kwa rekodi hiyo bondia huyo ana uchu wa kubaki kileleni na kuendeleza kichapo kwa kila bondia anaekutana nae

RAJABU MHAMILA SUPER D KOCHA WA MCHEZO WA MASUMBWI NA MUZAJI WA VIFAA VYA NGUMI


RAJABU MHAMILA SUPER D KOCHA WA MCHEZO WA MASUMBWI NCHINI MUZAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI MSAMBAZAJI WA DVD ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NDONDI AMBAYE ANAJISHUGHULISHA NA UZAJI WA VIFAA VYA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO YA NGUMI NA MAZOEZI YA AINA MBALI MBALI ANAPATIKANA KARIAKOO UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM TANZANIA MAWASILIANO 0787406938 NA 0754406938

RAJABU MHAMILA SUPER D

KOCHA WA KIMATAIFA WA MCHEZO WA MASUMBWI NCHINI RAJABU MHAMILA SUPER D

RAJABU MHAMILA SUPER D KOCHA WA MCHEZO WA MASUMBWI NCHINI MUZAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI MSAMBAZAJI WA DVD ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NDONDI


RAJABU MHAMILA SUPER D KOCHA WA MCHEZO WA MASUMBWI NCHINI MUZAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI MSAMBAZAJI WA DVD ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NDONDI PIA NI MWANA HARAKATI WA MICHEZO



RAJABU MHAMILA SUPER D KOCHA WA MCHEZO WA MASUMBWI NCHINI MUZAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI MSAMBAZAJI WA DVD ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NDONDI

BONDIA SEBA TEMA ASAINI KUZIPIGA NA PIUS KAZAULA DESEMBA 25 MOROGORO


Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila akimkabidhi mkataba bondia Seba Temba baada ya kutia saini ya makubaliano ya kupambana na Pius Kazaula mpambano utakaofanyika desemba 25 katika uwanja wa Jamuhuri Morogoro Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Seba Temba kushoto akitia saini katika mkataba wake kwa ajili ya kupambana na Pius Kazaula mpambano utakaofanyika Desemba 25 katika uwanja wa Jamuhuri Morogoro Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Seba Temba kushoto akitia saini katika mkataba wake kwa ajili ya kupambana na Pius Kazaula mpambano utakaofanyika Desemba 25 katika uwanja wa Jamuhuri Morogoro Picha na SUPER D BOXING NEWS


RAJABU MHAMILA 'SUPER D'

RAJABU MHAMILA 'SUPER D'

KOCHA WA KIMATAIFA WA MCHEZO WA MASUMBWI NCHINI RAJABU MHAMILA 'SUPER D'

BONDIA FRANSIC CHEKAS ANYAKUWA TUZO YA JK

Francis Cheka akipokea Tuzo yake
Tuzo zimetolewa kwa wanamichezo waliofanya vizuri katika kipindi cha miaka kumi, viongozi waliochangia kuinua michezo katika kipindi cha miaka kumi Tuzo 5 na Tuzo ya heshima kwa Mh Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa kuheshimu mchango wake katika kuinua michezo wakati wa utawala wake, baadhi ya waliopewa Tuzo usiku wa October 12 ni Francis ChekaMbwana SamattaIddi KipinguAbdallah Majura na Hashim Thabiti

Tuesday, October 13, 2015

Pichaz za utoaji wa Tuzo za TASWA 2015 na Rais Jakaya Kikwete akipewa Tuzo ya heshima


Hatimaye lile tukio la utolewaji wa Tuzo za chama cha waandishi wa habari za michezoTanzania (TASWA) ambazo hutolewa kila mwaka kwa wanamichezo wanaofanya vizuri, zimekamilika usiku wa October 12 kwa wanamichezo, taasisi na viongozi waliofanya vizuri katika kipindi cha miaka 10, Tuzo hizo safari hii zimekuwa tofauti na miaka yote kwani waliopewa Tuzo ni wale waliofanya vizuri katika kipindi cha miaka kumi.
DSC_0065
Shadrack Nsajigwa akipokea Tuzo kwa niaba ya timu iliyofanya vizuri katika mashindano ya CHAN
Tuzo hizo ambazo zilikuwa maalumu mwaka huu, kwani zimetumika kumuaga RaisKikwete kwa kumaliza muda wake madarakani na kuheshimu mchango wake katika kuinua michezo nchini katika kipindi cha utawala wake. Ikumbukwe kuwa Tuzo hizo ziligawanyika katika vipengele vinne, Taasisi iliyochangia kuinua michezo katika kipindi cha miaka kumi Tuzo 5.
DSC_0075
Francis Cheka akipokea Tuzo yake
Tuzo zimetolewa kwa wanamichezo waliofanya vizuri katika kipindi cha miaka kumi, viongozi waliochangia kuinua michezo katika kipindi cha miaka kumi Tuzo 5 na Tuzo ya heshima kwa Mh Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa kuheshimu mchango wake katika kuinua michezo wakati wa utawala wake, baadhi ya waliopewa Tuzo usiku wa October 12 ni Francis ChekaMbwana SamattaIddi KipinguAbdallah Majura na Hashim Thabiti
DSC_0053
DSC_0066
DSC_0068
Mama yake Hashim Thabiti akichukua Tuzo kwa niaba ya Hashim
DSC_0069
DSC_0071
Charles Mkwasa akichukua Tuzo ya Twiga Stars kwa kufanya vizuri katika kipindi cha miaka 10.
DSC_0079
Wawakilishi wa Mbwana Samatta wakichukua Tuzo kwa niaba yake
DSC_0082
DSC_0084
Kanali Iddi Kipingu akipokea Tuzo yake ya heshima kwa kusaidia kuinua michezo kwa muda mrefu toka yupo shule ya Makongo
DSC_0089
Rais Kikwete akimkabidhi tuzo Dioniz Malinzi kwa kujenga Uwanja wa Gofu Misenyi mkoani Kagera
DSC_0092
Rais wa zamani wa TFF Leodger Tenga kapata Tuzo ya kiongozi bora katika kuinua michezo
DSC_0094
Abdallah Majura akikabidhiwa Tuzo ya heshima katika kuinua michezo sasa kafungua kituo cha Radio kinachojihusisha na michezo.
DSC_0097
Mzee Said akipokea Tuzo ya Taasisi iliyochangia kuinua michezo nchini Azam SSB
DSC_0113
Mwenyekiti wa TASWA Juma Pinto akimkabidhi Rais Kikwete Tuzo ya heshima akiwa pamoja na mkuu wa mkoa Dar Es Salaam Meki Sadiki, waziri wa michezo Dk Fenella Mukangara na Dioniz Malinzi.
DSC_0118
DSC_0123
Nahodha wa Taifa Stars Nadir Haroub akikabidhi jezi ya Taifa Stars kwa Rais Kikwete ikiwa imesainiwa na wachezaji wote.
DSC_0149
Baada ya ugawaji wa Tuzo Rais Kikwete alipata nafasi ya kuongea na waandishi wa habari na wageni waalikwa katika Tuzo hizo.
DSC_0163
DSC_0170
DSC_0187
Rais Kikwete katika picha ya pamoja na watu mbalimbali
DSC_0202
Rais Kikwete katika picha ya pamoja na washindi wa Tuzo hizo
DSC_0221
Yamoto Band wakaitimisha kwa kuwachezesha waandishi wa habari kimadoido
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...