Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, October 13, 2015

WATOTO YATIMA WA KITUO CHA VALENTINE CHILDREN HOME WAPIMWA AFYA ZAO

Muhudumu wa afya ya baba mama na mtoto wa kituo cha alafa kilichopo tandika Dar es salaam Bi, Latifa Masasi wa pili   mpima mtoto Nuru Edward wa kituo cha kulea watoto yatima cha Valentine children home kilichopo yombo buza kulia ni mtoto Clara Olimpia nae akihudumiwa na nesi Mary Hongoli
Muhudumu wa afya ya baba mama na mtoto wa kituo cha alafa kilichopo tandika Dar es salaam Bi, Latifa Masasi wa pili akimpima afya mtoto Lovenes Masawe kulia ni nesi Mary Hongoli
watoto waliojitokezwa kuletwa kwa ajili ya kupima afya na wazazi wao wakiwa katika foleni ambapo jumla ya watoto waliojitokeza ni 230 ambao waliudumiwa na kupewa ushauli wa bule




watoto wakiwa katika folerni ya kupimwa afya


No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...