Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, October 17, 2015

BONDIA FRANSIC CHEKAS ANYAKUWA TUZO YA JK

Francis Cheka akipokea Tuzo yake
Tuzo zimetolewa kwa wanamichezo waliofanya vizuri katika kipindi cha miaka kumi, viongozi waliochangia kuinua michezo katika kipindi cha miaka kumi Tuzo 5 na Tuzo ya heshima kwa Mh Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa kuheshimu mchango wake katika kuinua michezo wakati wa utawala wake, baadhi ya waliopewa Tuzo usiku wa October 12 ni Francis ChekaMbwana SamattaIddi KipinguAbdallah Majura na Hashim Thabiti

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...