Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, December 30, 2018

MABONDIA WAPIMA UZITO KUPIGANA DESEMBA 31 KINESI



Bondia Mussa Msabaha kushoto akitunishiana misuli na Ibrahimu Makubi baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa kufunga mwaka utakaofanyika Desemba 31 katika viwanja vya Kinesi Shekilango maeneo ya Urafiki Picha na Super D Boxing News
Bondia AZizi Uliza akingia na Farasi kwa ajili ya kupima uzito kupambana na Ramadhani Shauri desema 31 katika mpambano wa kufunga mwaka 

Bondia Azizi Uliza akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake wa kufunga mwaka utakaofanyika Desemba 31 katika uwanja wa kinesi uliopo Shekilango akizipiga na Ramadhani Shauri mpambano wa Raundi kumi Picha na Super D Boxing News


MABONDIA WA KIKE WAKITUNISHIANA MISULI


Na Mwandishi Wetu

Mabondia Azizi Uliza na Ramasdhani Shauri wamepima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa Desema 31 mpambano wa kufunga mwaka na kufungua mwaka

alikuwa wa kwanza kabisa kuingia katika viwanja vya las vegasi Mabibo kwa ajili ya kupima uzito ni Azizi Uliza aklieingia uwanjani kwa shangwe na ndelomo uku akisindikizwa na wapambe wake pamoja na vigoma vilivyoleta radha misri ya kuwa mpambano upo siku hiyo ya kupima kumbe ilikuwa siku ya kupima uzitio na Afya kwa mabondia wote watakaocheza

baara ya saa moja bondia Ramadhani Shauri nae akaingia na shangwe na ndelemo vifijo zaidi ya mwenzake ata hivyo nani zaidi ya mwenzie itajulikana katika uwanja wa kines Shekilango ambapo mtanange uho utapigwa kwa raundi 10

akizungumzia mpambano uho Promota  Josepher Nyilawila kutoka kampuni ya Ijuka Sports amesema kuwa ulizi utakuwa ni wa kutosha kupita mahelezo ambapo mtu anaweza kuja na baiskeri yake na kuikuta salama baada ya mpambano

amesema mbali na mpambano uho siku hiyo kutakuwa na mapambano mengine yatakayowakutanisha mabondia mbalimbali 

 Hussein Itaba atazipiga na Kanda Kabongo na Tonny Rashidi atazipiga na Nassoro Madimba kutoka Bagamoyo maeneo ya Kiwangwa na Rolen Japhert atazikunja na Mohamedi Kashinde 'Simba wa Mbagala' nae Baina Mazola ataoneshana umwamba na Faraji Sayuni
alisema mapambano yote hayo yatakuwa kwa kingilio cha tsh 6000 na kwa V.I.P 10000 utaweza kuangalia mapambano yote hayo yani kama vile bule

Thursday, December 20, 2018

BONDIA AZIZI ULIZA AJIFUA KUMKABILI RAMADHANI SHAURI DESEMBA 31 KINESI SHEKILANGO


Bondia Azizi Uliza 'Kulia' akioneshana umwamba wa kutupiana Makonde na Mohamedi Selemani wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa kuzipiga na Ramadhani Shauri mpambano utakaofanyika Desema 31 katika uwanja wa Kinesi Shekilango Picha na Super D Boxing News'
Bondia Azizi Uliza akifanya mazoezi ya kuimalisha misuli ya tumbo kwa ajili ya kujiandaa na mpmbano wake na Ramadhani Shauri utakaofanyika Desemba 31 katika uwanja wa Kinesi uliopo Shekilango Picha na Super D Boxing News'

Bondia Azizi Uliza akijifua kwa kupiga spidboll wakati wa mazoezo yake ya kujiandaa na mpambano wake na Ramadhani Shauri utakaofanyika katika uwanja wa Kinesi Shekilango Picha na Super D Boxing News'

Bondia Azizi Uliza 'Kulia' akioneshana umwamba wa kutupiana Makonde na Mohamedi Selemani wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa kuzipiga na Ramadhani Shauri mpambano utakaofanyika Desema 31 katika uwanja wa Kinesi Shekilango Picha na Super D Boxing News'


Na Mwandishi Wetu


BONDIA AZIZI ULIZA amendelea kujifua kwa ajili ya mpambano wake na Ramadhani Shauri utakaofanyika Desemba 31 katika uwanja wa Kinesi uliopo Shekilango nyuma ya urafiki

akizungumza na mwandishi wa habari hizi uliza amesema kuwa Shauri asumbui ata siku moja kwani yeye ni mkongwa na mimi ndio nachpkia hivyo sio kazi rahisi kushindana na mimi ingawa anatamba katika vyombo vya habari ikiwa kapigwa K,O mbaya na Idd Mkwera raundi ya 9 kwangu mimi asitegemee kuwa upenyo nitamwadabisha vya kutosha kwani nimejiandaa kwa ajili ya kupigana

hivyo nawaomba wapenzi na mashabiki wa mchezo wa masumbwi mje muone Uliza namfanya nini Shauri nitampiga kipigo ambacho akijawai kumtokea tangu aanze ngumi

alimaliza kwa kusema Azizi Uliza

nae Promota wa mpambano uho Josepher Nyilawila kutoka kampuni ya Ijuka Sports  amesema mbali na mpambano uho siku hiyo kutakuwa na mapambano mengine yatakayowakutanisha mabondia mbalimbali 

 Hussein Itaba atazipiga na Kanda Kabongo na Tonny Rashidi atazipiga na Nassoro Madimba kutoka Bagamoyo maeneo ya Kiwangwa na Rolen Japhert atazikunja na Mohamedi Kashinde 'Simba wa Mbagala' nae Baina Mazola ataoneshana umwamba na Faraji Sayuni


siku hiyo pia kutakuwa zikiuzwa DVD mpya za masumbwi ambazo zinaonesha mafunzo mbalimbali ya mchezo wa ngumi yanavyoanza hatua kwa hatua

mpaka kujua kitu kamili katika

mchezo huo pia kunakuwa na mapambano ya mabondia mabigwa wa dunia wa mchezo huo kama Floyd


Maywether, Manny Paquaio,mike Tyson, Mohamed Alli pamoja na mabambano ya ngumi ya ndani zilizo taharishwa na kocha maili wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye anajishughulisha na uzaji wa vifaa mbalimbali vya ngumi nchini kama vile Glove gumshirt clip bandeji bukta protecter na vifaa vingine

Tuesday, December 18, 2018

BONDIA RAMADHANI SHAURI AJIFUA KUMKABILI AZIZI ULIZA DESEMBA 31 KINESI





Msimamizi wa mazoezi Abdallah Seif 'Kamanyani' akimfanyika mazoezi ya kukaza misuri ya tumbo bondia Ramadhani Shauri anaejiandaa kuzipiga na Azizi Uliza Desemba 31 katika uwanja wa Kinesi Shekilango maeneo ya Urafiki Picha na Super D Boxing News'


Msimamizi wa mazoezi Abdallah Seif 'Kamanyani' kushoto akimsimamia bondia Ramadhani Shauri kupiga beg wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa kuzipiga na Azizi Uliza katika mpambano wao utakaofanyika katika uwanja wa Kinesi Shekilango maeneo ya Urafiki Picha na Super D Boxing News'



Bondia Ramadhani Shauri kushoto akipiga beg uku akiwa kasimamiwa na  Abdallah Seif 'Kamanyani'   wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa kuzipiga na Azizi Uliza katika mpambano wao utakaofanyika katika uwanja wa Kinesi Shekilango maeneo ya Urafiki Picha na Super D Boxing News'

Msimamizi wa mazoezi  Abdallah Seif 'Kamanyani' kushoto akimwelekeza bondia Ramadhani Shauri kupiga ngumi iliyonyooka wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa kuzipiga na Azizi Uliza katika mpambano wao utakaofanyika katika uwanja wa Kinesi Shekilango maeneo ya Urafiki Picha na Super D Boxing News'

MABONDIA WAJIANDAA KUZIPIGA DESEMBA 31 KINESI SHEKILANGO


Msimamizi wa mazoezi Abdallah Seif 'Kamanyani' kushoto akimsimamia bondia Ramadhani Shauri kupiga beg wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa kuzipiga na Azizi Uliza katika mpambano wao utakaofanyika katika uwanja wa Kinesi Shekilango maeneo ya Urafiki Picha na Super D Boxing News'
Na Mwandishi Wetu

BONDIA Ramadhani Shauri amendelea kujifua kwa ajili ya mpambano wake wa kufunga mwaka na kufungua mwaka utakaofanyika Desemba 31 katika uwanja wa kinesi shekilango maeneo ya urafiki Dar es salaam akimkabili Azizi Uliza katika mpambano wake wa raundi kumi

akizungumza na mwandishi wa habari hizi katika kambi yake iliyopo mabibo mwembeni amesema kuwa yupo fiti kwa asilimia mia hivyo sasa anasubili mpambano tu yana natamani iwe ata leo tupate kumalizana mana nitampa kipigo ambacho si chakawaida alisema Shauri

aliongeza kwa kusema mashabiki wake wajitokeze kwa wingi waje kumwangalia kwani sasa anapigana ngumi za moto hatari kwani mpinzani wake atofika raundi ya sita hivyo nawaomba mashabiki wawai kuingia uwanjani mapema kabla mpambano aujaisha


nae Promota wa mpambano uho Josepher Nyilawila kutoka kampuni ya Ijuka Sports  amesema mbali na mpambano uho siku hiyo kutakuwa na mapambano mengine yatakayowakutanisha mabondia mbalimbali 

 Hussein Itaba atazipiga na Kanda Kabongo na Tonny Rashidi atazipiga na Nassoro Madimba kutoka Bagamoyo maeneo ya Kiwangwa na Rolen Japhert atazikunja na Mohamedi Kashinde 'Simba wa Mbagala' nae Baina Mazola ataoneshana umwamba na Faraji Sayuni


siku hiyo pia kutakuwa zikiuzwa DVD mpya za masumbwi ambazo zinaonesha mafunzo mbalimbali ya mchezo wa ngumi yanavyoanza hatua kwa hatua

mpaka kujua kitu kamili katika

mchezo huo pia kunakuwa na mapambano ya mabondia mabigwa wa dunia wa mchezo huo kama Floyd


Maywether, Manny Paquaio,mike Tyson, Mohamed Alli pamoja na mabambano ya ngumi ya ndani zilizo taharishwa na kocha maili wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye anajishughulisha na uzaji wa vifaa mbalimbali vya ngumi nchini kama vile Glove gumshirt clip bandeji bukta protecter na vifaa vingine
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...