Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, February 28, 2011

MASHINDANO YA NGUMI TAIFA YAMEFUNGULIWA









Bondia wa Mkoa wa Ilala Edward Jackson (kulia) akioneshana kiwango cha kutupa masumbwi na Mohamedi Abdalah wa Arusha wakati wa mashindano ya klabu bingwa taifa yanayofanyika uwanja wa ndani wa taifa Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.

Sunday, February 27, 2011

SHILOLE ATANGAZA VITA NA WALA VIRINGI


Msanii chipukizi wa filamu Zena mohamed "shilole" amethubutu kudai kwa kukieleza moja vyombo vya habari kuwa hashobokei mapapaa"wala viringi".
Licha ya binti huyo kuwa na shepu ya kuwastua wanaume wengi wenye fedha zao hapa mjini shilole kadai sio limbukeni wa kushobokea mafweza ana true love kwa muhusika wake.
Hebu tufuatilie kwa kina kama miezi kadhaa atadumisha hiyo kauli yake kwani kujigamba huko kumewakwaza sana wakwale hao.



BONGO MOVIE YALALA 2.0 KWA BONGO FLEVA

Ali Kiba wa Bongo Fleva akitaka kumtoka beki wa Bongo Movie katika mechi iliyochezwa leo jioni katika uwanja wa Taifa jijini Dar.Bongo Fleva waibuka kidedea kwa ushindi wa mabao 2-0 yaliyotiwa kimyani na mshambuliaji H. Baba.
Dr. Mtitu wa Bongo Movie akikimbia na mpira huku beki wa Bongo Fleva akimfukuzia.
Mawaidha kwa Bongo Fleva yakiongozwa na Sir Juma Nature huku wengine wakisikiliza kwa makini.
Kipemba akiigiza kama mmoja wa wahanga wa Gongo la Mboto.
Mmoja wa wazee wa kamati ya Ufundi ya Bongo Movie akionyesha ishara ya ushindi wa magoli manne.
Umati mkubwa uliojitokeza uwanjani hapo.
Mjomba Mpoto akifanya vitu vyake kabla ya mtanange kuanza.
Linnah
Hafsa Kazinja
Wana Sharobaro wakiwajibika mchana wa leo.
Wimbo wa Adela ukitendewa haki na Ismaeel,Mjomba na Linnah
Amini akifanya mambo yake.

BONGO FLEVA FC
BONGO MOVIE FC


DOKII


HAFSA KAZINJA

ray akiondoka na mpira

Saturday, February 26, 2011

MABONDIA WA MKOA WA ILALA WAFANYA MAZOEZI YA MWISHO

Mabondia wa Timu ya Mkoa wa Ilala wakijifua mara ya mwisho kabla ya mashindano ya klabu bingwa yanayoanza kesho kushoto ni Dogomusa Mohamedi na Omary Bay
Shomari Swalehe na Pazi Mvula wakichuana katika mazoezi


MABONDIA KUPANDA ULINGONI KESHO KATIKA MASHINDANO YA KLABU BINGWA


Dkt. wa Mashindano ya Taifa ya Ngumi, Joseph Magesa akimpima bondia wa Mkoa wa Ilala Jackson Mbwago kabla ya mapambano yao yanayoanza Dar es salaam lea katika ukumbi wa uwanja wa ndani wa taifa




Friday, February 25, 2011

WATOTO WA KIJITONYAMA TENNIS KLABU WAKIFANYA MAZOEZI.


Watoto wa Kijitonyama Tennis Klabu wakifanya mazoezi kwenye Uwanja wa Chuo cha Posta Dar es Salaam
Piga
Mchezaji wa Tennis, Matt Chuwa, wa Klabu ya Kijitonyaama akijiandaa kucheza mpira wakati wa mazoezi kwenye uwanja wa Chuo cha Posta jijini Dar es Salaam
Matt Chuwa akicheza
Mchezaji wa Tennis, Lailat Bonjee, wa Klabu ya Kijitonyaama akicheza mpira wakati wa mazoezi kwenye uwanja wa Chuo cha Posta jijini Dar es Salaam
Chuwa akicheza
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...