Marquee
tangazo
Wednesday, April 4, 2012
breking news soko la samaki feri laungua moto
Tuesday, April 3, 2012
KONYAGI WASAIDIA AKINAMAMA MBEYA
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Tanzania Distilleriers Limitedi (TDL) Bw. David Mgwasa, akimkabidhi baadhi ya Vyerehani 26 vyenye thamani ya milioni. 7.5 kwa Mbunge wa viti Maalumu Mkoa wa Mbeya Dkt. Mary Mwanjelwa, Dar es salaam jana kwa ajili ya kusaidi vikundi vya akina mama wa mkoa huo anaeshughudia kushoto ni Meneja wa kinywaji cha Konyagi Bi. Martha Bangu
MFUKO WA PESHENI WA LAPF WAPIGA TAFU KAMBI YA MASUMBWI
TFF YAIPOKA POINTI TIMU YA YANGA KWA KUMCHEZESHA NADIR CANAVARO
Kamati ya Ligi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imeipa Coastal Union ushindi wa pointi tatu na mabao matatu baada ya Yanga kumchezesha mchezaji Nadir Haroub ‘Cannavaro’ kwenye mechi kati ya timu hizo iliyochezwa Machi 31 mwaka huu Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga.
Uamuzi huo ulifanywa na Kamati ya Ligi iliyokutana jana (Aprili 2 mwaka huu) kupitia ripoti mbalimbali za Ligi Kuu na Ligi Daraja la Kwanza umezingatia Kanuni ya 25(f) ya Ligi Kuu ya Vodacom juu ya Udhibiti wa Wachezaji.
Kanuni hiyo inasema: “Ni lazima kwa klabu na wachezaji kutunza kumbukumbu za kadi. Klabu itakayomchezesha mchezaji mwenye kadi tatu (3) za njano au kadi nyekundu itapoteza mchezo na timu pinzani itapewa ushindi wa pointi tatu (3) na mabao matatu (3), iwapo mchezaji atacheza akiwa haruhusiwi kucheza kwa ajili ya kadi tatu (3) za njano au kadi nyekundu timu yake itapoteza mchezo. Endapo klabu haina uhakika au inataka taarifa ya idadi ya kadi zake itaomba kwa maandishi toka TFF.”
Cannavaro alioneshwa kadi nyekundu kwa kosa la kupiga kwenye mechi kati ya Yanga na Azam iliyochezwa Machi 10 mwaka huu ambapo kwa mujibu wa Kanuni ya 25(c) ya Ligi hiyo anastahili kukosa mechi tatu. Mchezaji amekosa mechi mbili tu.
Pia klabu za Coastal Union na Yanga zimepigwa faini ya sh. 500,000 kila moja kwa washabiki wake kutupa chupa za majini uwanjani wakati wa mechi hiyo. Adhabu hiyo imetolewa kwa mujibu wa Kanuni ya 32(1).
Kamati ya Ligi pia imemuondoa Kamishna wa mechi hiyo Jimmy Lengwe kwenye orodha ya waamuzi kutokana na upungufu uliopo kwenye ripoti yake ambapo baadhi ya matukio makubwa hakuyaripoti. Moja ya matukio hayo ni kocha wa Coastal Union, Jamhuri Kihwelo kuzozana na mshambuliaji wa Yanga, Hamis Kiiza.
Vilevile waamuzi wa mechi namba 151 kati ya African Lyon na Simba wameandikiwa barua ya onyo kwa kupata alama za chini. Waamuzi hao ni Hashim Abdallah, Abdallah Selega, Hamis Chang’walu na Hassan Mwinchum. Naye Kamishna wa mechi namba 153 kati ya Moro United na Villa Squad, Arthur Mambeta amepewa onyo kutokana na upungufu katika ripoti yake.
kwa habariu zaidi tembelea http://www.fullshangweblog.com/
TWIGA STARS YASAIDIWA JEZI ZA MAZOEZI
Kampuni ya Galileo by Travelport Tanzania imetoa msaada wa jezi za mazoezi na maji kwa timu ya Taifa ya wanawake (Twiga Stars) wenye thamani sh. milioni 1.5.
Msaada huo umekabidhiwa leo (Aprili 3 mwaka huu) na Meneja Biashara wa Galileo by Travelport Tanzania, Margret Leslie ambaye amesema wameitikia mwito wa kuisadia timu hiyo ili iweze kufanya vizuri kwenye michuano mbalimbali inayoikabili.
TFF imeishukuru kampuni hiyo ya uwakala wa tiketi za ndege kwa msaada huo na kuzitaka kampuni, taasisi na watu binafsi kujitokeza kuisaidia Twiga Stars ambayo kwa sasa haina mdhamini, kwani gharama za mashindano ni kubwa.
Sunday, April 1, 2012
WADAU WAOMBWA KUISAIDIA TIMU YA TAIFA YA MASUMBWI

Na Mwandishi Wetu Kibaha Pwani
TIMU ya Taifa ya mchezo wa Masumbwi ya ridhaa inayojiandaa na mashindano ya kufuzu kucheza Olimpiki inatarajia kucheza michuano ya kujipima nguvu na timu ya Combaini ya Ngome.
Michuano hiyo imepangwa kufanyika April 5 mwaka huu katika ukumbi wa Jeshi uliopo Mwenge jijiji, Dar es Salaam.
Akizungumza katika Shule ya Sekondari ya Filbert Bayi ilipokuwa Kambi hiyo, kocha wa timu hiyo David Yombayomba alisema mchezo huo ndio utakaoangalia viwango vya mabondia hao vilipofikia.
"Kambi ya ngumi kwa ujumla inaendelea vizuri na wachezaji wote wapo katika kiwango cha kuridhisha na tunategemea mashindano hayo ya April 5 yatatoa mwanga kwa timu hii kwa kile tulichokifundisha kama kimezingatiwa,"alisema Yombayomba.
Alisema Combaini hiyo ya Ngome itakuwa na wachezaji wazuri mmoja mmoja ambao uwezo wao ni mkubwa na utaweza kuleta changamoto kubwa kwa mabondia hao.
Yombayomba pia ameliomba Shirikisho la Ngumi za Ridhaa nchini kuwatafuia mapambano mengine kama itawezekana kabla ya kwenda Kasablanka nchini Moroko kwa ajili ya kusaka viwango hivyo vya kucheza Olimpiki.
Mashindano hayo ya kufuzu kucheza Olimpiki kwa upande wa ngumi yataanza April 27 mwaka huu ambapo mashindanmo hayo ndiyo yatakayotoa idadiya mabondia wa Tanzania watakaokwenda London Uingereza kwenye mashindano ya Olimpiki yatakayofanyika Julai mwaka huu.

Mbali na hivyo alikumbusha kuwa wadau mbali mbali kujitokeza kuwapa sapoti kwa kutoa udhamini wa aina yoyote ikiwemo vifaa vya mchezo pamoja na vya mazoezi kwa ajili ya mabondia hawo waliopo Kasmbini.
Makampuni yamekuwa wakichagua mchezo flani kwa ajili ya kutoa sapoti yao basi watukumbuke na sisi japo kidogo kwani mchezo wa ngumi ndio pekee mpaka sasa iliyoleta sifa nchini kwa kiwango cha juu na kutambulika Duniani kote
MAMA ASHA BILAL AADHIMISHA SIKU YA UPANDAJI MITI NCHINI KWA KUPANDA MITI ENEO LA MAKAZI YA MAKAMU WA RAIS
Mke wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Asha Bilal, akipanda mti leo, ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha siku ya upandaji miti inayoadhimishwa nchini kote kila ifikapo Aprili 01, kila mwaka.
Mke wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Asha Bilal, akimwagilia maji mti baada ya kupanda leo, ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha siku ya upandaji miti inayoadhimishwa nchini kote kila ifikapo Aprili 01, kila mwaka.
WANAFUNZI UDOM WATOA ZAWADI YA PASAKA KWA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA MIYUJI KILICHOPO MKOANI DODOMA JANA
Hii ni moja ya Picha Kubwa iliyochorwa katika ukuta wa bweni ambalo wanalala watoto wa kituo cha Miyuji kilichopo katika Eneo la Miyuji Mkoani Dodoma.Kituo kinachoendeshwa na Kusimamiwa na Kanisa Katoliki
Mbuzi huyo alikua ni Moja ya Zawadi ya Pasaka kutoka kwa wanafunzi wa UDOM waliyopelekewa Watoto Waishio katika Mazingira magumu katika Kituo Cha Kulelea Watoto cha Miyuji kinachosimamiwa na Kanisa Katoliki kilichopo Miyuji Mkoani Dodoma
Baadhi ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) wakiwa pamoja na watoto waishio kituoni hapo katika moja ya Mashamba ya machungwa yaliyopo kituoni hapo wakti wanafunzi wa UDOM walipokwenda kuwatembelea Watoto hao hapo jana
Picha Juu Ni wanafunzi wa UDOM wakishiriki kuimba pamoja na Watoto hao katika kituo hilo ambapo wanafunzi wa UDOM walienda kuwatembelea watoto hao jana na kucheza nao baadhi ya michezo
Baadhi ya Wanafunzi Wa UDOM wakiwa katika Picha ya Pamoja Na Watoto waishio katika Kituo Cha Miyuji kilichopo Maeneo ya Miyuji Mkoani Dodoma wakati wanafunzi wa UDOM walipokwenda kuwatembelea Watoto hao hapo jana.Picha zote na Fadhil Gharib Linga Wa Lukaza Blog - http://josephatlukaza.blogspot.com
TANGAZO LA DAWA YENYE NGUVU

DAWA YA NGUVU ZA KIUME NA MSIMKO KWA WANAWAKE WASIO NA HAMU YA TENDO LA NDOA AMBAYO HULETA MSISIMKO KWA WANAUME NA WAKE WAKUTANAPO.KWA SASA INAPATIKANA KWA BEI NAFUU HAPA JIJINI DAR ES SALAAM MAKUTANO YA MTAA WA KIPATA NA BARABARA YA MSIMBAZI
ALLY WA YANGA BOMBA UHURU NA MSIMBAZI 0787230551 AU 0652755838
ALLY WA YANGA BOMBA UHURU NA MSIMBAZI 0787230551 AU 0652755838
PIGA NO O713827689, 0755074505 , au 0719 541366
,0652755838 UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM
,0652755838 UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM
BUGURUNI LOZANA STENDI YA TAX ULIZIA ADAMU KIBANDANI 0755875884
SHULE YA UHURU FIKA JENGO LA AZAM BAKHRESA ULIZA NGAEJA 0715110900
KARIAKOO SHULE YA UHURU STENDI YA MABASI YA TANDIKA ULIZIA ZUNGU MUHUZA TIKETI 0712743870
NA UKIWA ILALA SHARIF SHAMBA FIKA DSJ BANDA NAMBA 14 SIMU 0718718671
NA UKIWA KOTA ZA BANDARI KARIAKOO FIKA MKUNGUNI KIBANDANI KWA HUSEIN 0753893295
MWANANYAMALA FIKA JABA KLABU ULIZA MACHELLAH 0713470492
ENZOY INALETA HESHIMA
ENZOY Gain Vitality With Natural Product and Effective
DAWA YA NGUVU ZA KIUME NA MSISIMKO KWA
WANAWAKE WASIO NA HAMU YA TENDO LANDOA
AMBAYO HULETA MSISIMKO KWA WANAUME NA
WANAWAKE WAKUTANAPOO
SASA INAPATIKANA JIJINI DAR ES SALAAM
MAKUTANO YA BARABARA YA MSIMBAZI NA MTAA
WA KIPATA KWA MAELEZO ZAIDI TEMBELEA
MATANGAZO KATIKA MTANDAO WA www.burudan.
blogspot.com burudan mwanzo mwisho PIGA SIMU
NO.0713 827689 AU 0755 074505 NA 0719 541366
ENZOY INAPATIKANA SEHEMU ZIFUATAZO KARIAKOO
SOKONI LANGO KUU ULIZA LUKINDO SIMU 0755
686929 BUGURUNI LOZANA STANDI YA TAX ULIZA
ADAMU SIMU 0755875884 KARIAKOO SHULE YA
UHURU STAND YA MABASI YA TANDIKA ULIZA ZUNGU
MUHUZA TIKETI SIMU 0712 743870 GONGO LA
MBOTO GRAD\u2019S BAR ULIZA MAPUNJA 0713 388956
ILALA SHARIFU SHAMBA DSJ BANDA NAMBA 14
ULIZA SWALEHE SIMU 071871671 KOTA ZA BANDARI
KARIAKOO FIKA MKUNGUNI KIBANDANI KWA
HUSENI SIMU 0753 893295 MWANA NYAMALA FIKA
JABA KLABU ULIZA MACHELLAH SIMU 0713 470492
MACHIMBO MWISHO WA LAMI LUMO WASILIANA
NA MR TICHA STUDIO SIMU 0713 272439 BUNGONI
MAFURIKO WASILIANA NA DR MWANGOME SIMU
0715/0754-232228 MALAPA FIKA MANENO SHOP
SIMU 0754 420621 MSIKITI WA MTAA LINDI KARIAKOO
ULIZA HABIBU 0719056833 VINGUNGUTI VIKA KONA
YA SPENKO NGALENI DABO SS PHOTO STUDIO
SIMU 0713572170 ZAIDI ULIZIA FUNDI MITAMBO ALLY
MOMBA SIMU 0715 260220 POPOTE ALIPO NA FUNDI
MITAMBO NA MTAALAMU WA VIFAA VYA UMEME
MR.KILINDA SIMU NO.O773/0715-565219
SHULE YA UHURU GELEZANI ULISA JAFARI NGAEJE GOROFA LA BAARESA KARIBU NA KITUO CHA MABASI MBAGALA SIMU NO 0715110900
WANAWAKE WASIO NA HAMU YA TENDO LANDOA
AMBAYO HULETA MSISIMKO KWA WANAUME NA
WANAWAKE WAKUTANAPOO
SASA INAPATIKANA JIJINI DAR ES SALAAM
MAKUTANO YA BARABARA YA MSIMBAZI NA MTAA
WA KIPATA KWA MAELEZO ZAIDI TEMBELEA
MATANGAZO KATIKA MTANDAO WA www.burudan.
blogspot.com burudan mwanzo mwisho PIGA SIMU
NO.0713 827689 AU 0755 074505 NA 0719 541366
ENZOY INAPATIKANA SEHEMU ZIFUATAZO KARIAKOO
SOKONI LANGO KUU ULIZA LUKINDO SIMU 0755
686929 BUGURUNI LOZANA STANDI YA TAX ULIZA
ADAMU SIMU 0755875884 KARIAKOO SHULE YA
UHURU STAND YA MABASI YA TANDIKA ULIZA ZUNGU
MUHUZA TIKETI SIMU 0712 743870 GONGO LA
MBOTO GRAD\u2019S BAR ULIZA MAPUNJA 0713 388956
ILALA SHARIFU SHAMBA DSJ BANDA NAMBA 14
ULIZA SWALEHE SIMU 071871671 KOTA ZA BANDARI
KARIAKOO FIKA MKUNGUNI KIBANDANI KWA
HUSENI SIMU 0753 893295 MWANA NYAMALA FIKA
JABA KLABU ULIZA MACHELLAH SIMU 0713 470492
MACHIMBO MWISHO WA LAMI LUMO WASILIANA
NA MR TICHA STUDIO SIMU 0713 272439 BUNGONI
MAFURIKO WASILIANA NA DR MWANGOME SIMU
0715/0754-232228 MALAPA FIKA MANENO SHOP
SIMU 0754 420621 MSIKITI WA MTAA LINDI KARIAKOO
ULIZA HABIBU 0719056833 VINGUNGUTI VIKA KONA
YA SPENKO NGALENI DABO SS PHOTO STUDIO
SIMU 0713572170 ZAIDI ULIZIA FUNDI MITAMBO ALLY
MOMBA SIMU 0715 260220 POPOTE ALIPO NA FUNDI
MITAMBO NA MTAALAMU WA VIFAA VYA UMEME
MR.KILINDA SIMU NO.O773/0715-565219
SHULE YA UHURU GELEZANI ULISA JAFARI NGAEJE GOROFA LA BAARESA KARIBU NA KITUO CHA MABASI MBAGALA SIMU NO 0715110900
KARIBUNI ENZOY INALETA HESHIMA
KAMANDA GULUMO WA MSONDO NGOMA AREJEA JUKWAANI KWA KISHINDO BAADA YA KUPONA MARADHI YALIYOKUWA YAKIMSUMBUA

BREAKING NYUZZZZZ........ANKAL AULA KWA KUANZISHA HUDUMA YA BURE YA WIFI
Rais Barak Obama wa Marekani akimtambulisha Ankal ambaye amechaguliwa kutunukiwa nishani ya kuwa mwana Libeneke Bora Duniani kutokana na mchango wake mkubwa wa kuunganisha watu mbalimbali duniani kwa njia ya mtandao huu wa jamii. Tuzo hiyo imetolewa na American Celebrities Guild na inaambatana na zawadi ya kitita cha dola 800,000 za Kimarekani. Hafla hii imefanyika leo huko Los Angeles.
Ankal amepewa heshima hiyo baada ya Globu ya Jamii kushinda tuzo ya Huduma Iliyotukuka hasa baada ya kuanzisha huduma za bure za mtandao, ambapo hivi sasa mdau unaweza kupata MichuziBlog Wifi bure katika kila sehemu iliyo na Hot Spot ya UhuruOne ambayo imeanzia jijini Dar es salaam wiki iliyopita na sasa juhudi za kuisambaza nchi nzima ili kuwafikia wadau wengi.
Ankal amealikwa kwenda Washington DC, Marekani kwenda kukabidhiwa tuzo hiyo na Rais Obama katika Ikulu ya Marekani Aprili 10 mwaka huu. pamoja na hio na zawadi ya kitita cha dola 800,000 za Kimarekani kama kifutia jasho na pia pesa ya kupanua wigo wa Globu ya Jamii.
Kwa habari zaidi ya huduma hiyo ya bure ya MichuziBlog Wifi
Ankal amepewa heshima hiyo baada ya Globu ya Jamii kushinda tuzo ya Huduma Iliyotukuka hasa baada ya kuanzisha huduma za bure za mtandao, ambapo hivi sasa mdau unaweza kupata MichuziBlog Wifi bure katika kila sehemu iliyo na Hot Spot ya UhuruOne ambayo imeanzia jijini Dar es salaam wiki iliyopita na sasa juhudi za kuisambaza nchi nzima ili kuwafikia wadau wengi.
Ankal amealikwa kwenda Washington DC, Marekani kwenda kukabidhiwa tuzo hiyo na Rais Obama katika Ikulu ya Marekani Aprili 10 mwaka huu. pamoja na hio na zawadi ya kitita cha dola 800,000 za Kimarekani kama kifutia jasho na pia pesa ya kupanua wigo wa Globu ya Jamii.
Kwa habari zaidi ya huduma hiyo ya bure ya MichuziBlog Wifi
Mcheza sinema maarufu duniani Brad Pitt naye alikuwepo kuunga mkono tuzo aliyopewa Ankal ambapo yeye na mastaa wengi wengine walisaini mabango ya picha ya Ankal yatayosambazwa kila mahali duniani katika promosheni kabambe iliyoasisiwa na American Celebrities Guild na kutolewa kwa mtu anayejali maslahi ya jamii
Victoria Beckham, mke wa mwanasoka maarufu David Beckham, naye alikuwa miongioni mwa nyota kibao waliokuwepo kumsapoti Ankal na Globu ya Jamii. LIBENEKE OYE!
MASHINDANO YA 9 YA NSSF KWA VYOMBO VYA HABARI YAMALIZIKA JANA, ZANZBAR YAIBUKA KIDEDEA.
Nahodha wa Timu ya TBC queens Bi. Grace Kingalame (kulia) akipokea zawadi ya mshindi wa pili kwa niaba ya timu yake shilingi milioni 2 na kombe kutoka kwa Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo mara baada ya kumalizika kwa mashindano ya NSSF kwa vyombo vya habari jana jijini Dar es salaam.
Picha na Aron Msigwa –MAELEZO.
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo akizungumza na wadau wa michezo na washiriki wa michezo kutoka vyombo mbalimbali vya habari mara baada ya kumalizika kwa fainali za mashindano ya 9 ya NSSF kwa vyombo vya habari na kutoa wito kwa taasisi, mashirika na makampuni mbalimbali kujitokeza kudhamini michezo mbalimbali nchini.
Kocha wa timu ya Habari ya Zanzbar Bw. Taibu Khamis akitoa somo kwa wachezaji wake mara baada ya kumalizika kwa kipindi cha kwanza cha mchezo kati ya timu hiyo na timu ya NSSF jana jijini Dar es salaam.
Kikosi cha timu ya mpira wa miguu cha Habari kutoka Zanzbar kikishangilia ushindi mara baada ya kutwaa kombe na fedha taslimu shilingi milioni 3.5 mara baada ya kuwaondoa wenyeji wa mashindano hayo timu ya NSSF kwa bao 4-0 leo jijini Dar es salaam.
Mshambuliaji wa timu ya NSSF ya jijini Dar es salaam ambao ndio wenyeji wa mashindano ya 9 ya NSSF kwa vyombo vya habari akihaha kutafuta gori kutoka timu pinzani ya Habari ya Zanzbar wakati wa fainali za mashindano hayo jana jijini Dar es salaam. Timu ya Habari Zanzbar imeibuka kidedea kwa kuifunga NSSF bao 4- 0.
Saturday, March 31, 2012
WANANCHI WA ZILIZOKUA KOTA ZA BANDARI GEREZANI WAMEVAMIWA NA KUBOMOLEWA NYUMBA ZAO KINYUME NA SHERIA
Subscribe to:
Posts (Atom)











