Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza wakati wa Mkutano wa Uwekezaji wa Chakula na Kilimo, ulioanza leo Novemba 10, 2011 kwenye Ukumbi wa Ubungo Plaza, jijini Dar es Salaam. Picha na Muhidin Sufiani-OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiteta jambo na Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Prof. Jumanne Maghembe, wakati walipokuwa akiongoza Mkutano wa Uwekezaji wa Chakula na Kilimo, ulioanza leo Novemba 10, 2011 kwenye Ukumbi wa Ubungo Plaza, jijini Dar es Salaam. Picha na Muhidin Sufiani-OMR

No comments:
Post a Comment