Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, July 10, 2012

Mhadhiri aandika kitabu cha kufanya utafiti kwa kutumia kiswahili


Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania(KKKT) na Mhadhiri wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Tumaini Tawi Njombe Dr. Elia Shabani Mligo (kushoto) akiwaonyesha waandishi wa habari  (leo) jijini Dar es salaam kitabu chake alichoandika kitakachomsaidia mwanafunzi kuandaa kuandika utafiti kwa urahisi kwa kutumia lugha ya kiswahili. Kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya EGYS ambaye ni mchapishaji Mkumbo Mitula.


Picha na Tiganya Vincent- MAELEZO- Dar es salaam
Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania(KKKT) na Mhadhiri wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Tumaini Tawi Njombe Dr. Elia Shabani Mligo (kushoto) akiongea na waandishi wa habari (leo) jijini Dar es salaam kuhusu kitabu chake alichoandika kitakachomsaidia mwanafunzi kuandaa kuandikKitabu hicho kitakuwa mitaani kwa shilingi elfu 10 tu.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...