Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, July 31, 2012

ERASMUS MTUI KUSHIRIKI MASHINDANO YA DUNIA YA MADEREVA


  Meneja Uendeshaji wa Kampuni ya Scania nchini Tanzania, Mark Cameron(kushoto) akimkabidhi bendera ya Taifa dereva, ErasmusMtui ambaye ni mshindi wa mwaka 2011 anayekwenda kwenye mashindano ya Kimataifa ya Bingwa wa Mabingwa yanayotarajiwa kufanyika  Afrika Kusini.Makabidhiano hayo yalifanyika makao makuu ya ofisi za Scania Dar es Salaam 
Erasmus Mtui akizungumza na waandishi wa habari

KAMPUNI ya Scania Tanzania leoimeandaahaflafupikumuagamshindiwamashindanoyamaderevayanayojulikanakama“Tanzania Driver Of The Year” yaliyofanyikakatikaviwanjavya Biafra sikuyaJumamositarehe 19th November mwakajana. 
Mr. Erasmus Mtui, mwenyeumriwamiaka 44 aliyebukamshindibaadayakufaulukatikangazizotetatuzashindanohilomwakajanaameajiriwakamaderevakatikakampuniyausafirishajiya Super Star Forwarders iliyokobarabarayaNyerere, Dar Es Salaam. “Nimefanyamazoezinanimepatamafunzoyakutoshakabisa, kwasasanikotayarikukabiliananashindanolijalo, naahidikufanyajitihadazanguzoteiliniiwakilishevizurinchiyangu, benderaya Tanzania ipeperukevizurikwenyemashindanohaya!” AlijigambaBw. Mtui.  
Akiongeanawaandishiwahabari, Bwana Mark Cameron MenejaUendeshajiwakampuniyaScania Tanzania alisemakwamba‘Derevandiokiungomuhimupekeekatikauchumi, mazingiranausalama. Maderevawenyeutaalamunawanaopendakaziyaohusaidiakuendeshakwausalamabarabarani, hutumiamafutakidogo, hiihusaidiakiwangokidogo cha uchafuziwamazingira”.AlisemakwambaScaniailianzishamashindanoyamaderevakwamaraya kwanza mwaka 2003 katikanchizaulaya. Mashindanohayayalieneanakuwayadunianzima, yakionyeshaumuhimuwautaalamukwamaderevapamojanakusisitizamafunzokwamaderevailikuboreshaufahamuwausalamabarabaraninauchafuziwamazingiraunaosababishwanamoshiwamagari. Mr. Cameron alimalizakwakusema “Maderevandioutiwamgongowasektayausafirishaji. Pamojanakutengenezamagarimakubwa bora, salamanayanayotumiamafutavizuriScaniamudawoteinamuangaliamtualiyekonyumayausukani. Kwamaraya kwanza tumewezakufanikishamashindanohayahapa Tanzania, tukonamshindiwetuMr.Mtuiambayeamejiandaavizuri, tunamuamininatunatarajiaatatusababishiasifakubwa, tunamtakiakila la kheri!. 
Naye Bi. Margaret Legga, afisamasokomsaidiziwakampuniyaScania Tanzania alisemakwambamashindanohayayaliyopewajina la “BingwawaMabingwa”yatafanyikakatikamjiwa Sun City hukoAfrikayaKusinimapemamweziujaokuanziatarehe 09 hadi 11. Mashindanohayayatajumuishamaderevakutokamabaramenginekamabara la Ulaya, Asia naAmerikayaKusini, kutokanchizaAfrikakunamaderevakutokanchiza Botswana, Lesotho, Malawi, Namibia nasisi Tanzania. WaandaajiwamashindanohayanikampuniyaSwiss organisation UICR Union Internationale Des ChaffeursRoutiersna The South African RTMC Road Traffic Management Corporation, Scanianimojawapoyawadhaminiwakuuwashindanohili. Shindanohilihufanywamarambilikilamwaka.Mwakahuujumlayamadereva 105 kutokanchi 17 kotedunianiwatachuanakatikangazitofauti 6 zashindano.Mr.Mtuiatashindanakatikakitengo cha “Semi truck and trailor” ambachoatapambanakikwelikwelikwanikiladerevaatatakiwakuonyeshaufundikwakuendeshanakupitavipimo 19 vyamchuano. Vipimohivinipamojanauendeshajiunaotumiamafutakidogo, namnayakubebamzigokiusalama, kulifahamugarianaloendesha, bilakusahauuendeshajimakinibarabarani. KufanyikakwashindanohilihapabaranikwetuAfrikakunatuongezeauwezekanowakufaulusisiwenyeji” Alimaliza Bi.Legga. 
Kama mojawapoyawatengenezajiwamagarimakubwanamabasiwanaoongozaduniani, Scaniainaendeleakuonyeshakujitoleakwakenakuwajibikakatikakujengasekta bora yausafirishajiinayosababishafaidakwapandezote. Ili kufikiahili, utaalamunauelewawamaderevanivitumuhimusana. 
Mashindanoyamaderevayajulikanayokama“The Scania - Tanzanian Driver of the Year competition”yanatoanafasikwamaderevakujadilinakuelezea mambo ambayoyatasaidiakupunguzaajalibarabarani, yataongezafaidabainayawadaumbalimbaliwasektahii. Yanaonyeshapiakwawananchiwotevipajivyamaderevawetunamchangowaomuhimusanakwausalamawetuikiwanichangamotokwamaderevawenginekuongezaujuzi, navijanakujiunganaajirahii.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...