Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, February 12, 2013

waziri wa afya akagua mazingira


Wazir wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk Terezya Huvisa (katikati) akionyeshwa Mfumo wa Maji Taka na Meneja Mazingira Bw Dominick Mariki wakati  Waziri alipofanya Ziara ya Kutembelea Kiwanda cha  Bia cha Serengeti cha  Jijini Dar es Salaam ambacho wananchi wanakilalamikia kinawamwagia Maji Machafu katika Mtaa wa Chamwenyewe Chang'ombe.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk Terezya Huvisa akimsikiliza Bi Mwaka Washokela kuhusu Malalamiko ya Umwangaji wa  Maji Machafu ya  Kiwanda cha Bia cha Seregeti katika Mtaa wa Chamwenyewe, Changmbe Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Terezya Huvisa akimsikiliza Operesheni Meneja wa Kiwanda cha Bia cha Serengeti Shekhor Mokosare, Waziri  alifanya  Ziara ya kukagua na kuangalia Uchafuzi wa Mazingira  Unaoyanywa na Kiwanda cha Bia cha Sereneti cha Jijini Dar es Salaam Picha na Ali Mea

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...