MREMBO Suzie jana alishinda mpambano wa Manywele Kigoli 2013 uliofanyika ndani ya ukumbi wa Business Park uliopo Makumbusho jijini Dar alipowabwaga wenzake aliokuwa akichuana nao katika kukata viuno.
Suzan akiwa kwenye gari lake muda mfupi baada ya kutwaa taji hilo.
Msanii wa Bendi ya Malaika, Christian Bella, akitumbuiza kwenye mashindano hayo.
Ally ‘Nipashe’ akiserebuka na mrembo jukwaani baada ya kuombwa kutumbuiza mahali hapo.
Mshindi wa kwanza , wa pili na wa tatu wakiwa katika pozi.
Baadhi ya mashabiki wakishuhudia shindano hilo.
Vigoli wakiserebuka.
No comments:
Post a Comment