Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, December 28, 2013

MBUNGE FILIKUNJOMBE ATIMIZA AHADI ZAKE KWA KANISA LA ANGLIKANA ILELA LUDEWA


Waumini  wa Kanisa la  Anglikana  Ilela  Ludewa  wakimshangilia  mbunge  wao  Deo  Filikunjombe  wakati  akitolea ufafanuzi  wa misaada  anayoitoa  kanisani hapo  ,wakati  wa ibada ya Krismas
Mmoja kati ya  waumini wa kanisa  hilo akishukuru kwa  kulala  chini  wakati  mbunge  wao akitoa  misada  yake
Mbunge  wa   jimbo la  Ludewa  Deo Filikunjombe wa pili  kulia akikabidhi msaada wa marumaru  seti  100 kwa  mchungaji wa kanisa la  Anglikana mtaa  wa  Ilele  Ludewa mchungaji Canon Ngoye
Wananchi  na  waumini  wa kanisa la Anglikana   mtaa wa Ilela  Ludewa  wakimuwekea mikono ya baraka  mbunge Deo Filikujombe baada ya  kukabidhi misaada kanisan i hapo
Waumini  wa kanisa la Anglikana  mtaa wa Ilela Ludewa akifurahi pamoja na mke  wa mbunge Deo Filikunjombe Bi Habiba Filikujombe mwenye nguo  nyekundu kati
Waumini  wa kanisa  hilo  wakimshangilia mbunge  wao
Mmoja  kati  ya  waumini  wa kanisa  hilo  akimfuta jasho mbunge  Deo Filikunjombe kama  ahsante kwa  kuwajali  wapiga kura  wake
Mbunge  Filikunjombe  akitoa neno kwa  wapiga kura  wake kanisani  hapo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...