Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, December 6, 2013

SMILE YATOA ‘ZAWADI YA KASI’



 

Mkurugenzi Smile Tanzania na Uganda Fiona McGloin ( katikati) Kushoto Deo Ndejembi Mkuu wa Mauzo na Madaha Fancis Mkuu wa Mtandau (Kulia)  wakizindua Smile 4G LTE broadband jijini Arusha


Hon Makamba kwenye uzinduzi ya Smile 4G LTE jijini Arusha akiwa na mkurugenzi wa Smile Tanzania na Uganda Fiona McGloin

For Immediate Release
DAR - ES- SALAAM 5Desemba, 2013
Katikakusherekeamwishowamwaka, Smile inafurahakuwatangaziapromosheniya ‘ZawadiyaKasi’, promosheniambayobiasharanawatubinafsiwatawezakununua “Mi-FI” ya Smile, kifaa cha kurushaintanetichenyematumizimengi, saiziyamfukoninakinachotumiabetriiliyojengewandani, kinachokujanakifurushi cha intaneti cha bure cha kuanzia.
MkuuwaMauzoyamojakwamojawa Smile, DeogratiusNdejembi, alisema “TunazinduapromosheniyaMi-Fi ambayoitadumukwamiezimiwili, kwanamnahiiwatuwengizaidiwatawezakufurahiaintanetiya Smile yenyekasizaidikatikamsimuhuuwasikukuukwabeinafuu.
“Biasharanyingi, marafikinafamiliasiotukwambawanahitajikutumiaintanetibalipiawanazidikutegemeaupatikanajiwaintanetiyenyeuboranakasizaidikatikashughulizao. Ili kuwasaidiawatuhawa, tunatoavifaavyetuvyakurushiaintanetivyaMi-FikatikabeiyapromosheniyaTsh 149,000 tu.Piatutawekakifurushi cha GB 5 kwenyekifaahicho,” aliongezaBw. Ndejembi.
Kifaahichochenyeuzitomdogonaukubwasawanasimundogoyamkononihufanyakazikama modem napiaMi-Fi inawezakuunganishampakavifaa 8 kwenyeintanetikwawakatimmoja; vifaahivivinawezakuwa tablet, komputampakato, simuzamkononinavifaavinginevyenyeuwezowakuunganishaintaneti.
"KwakutumiaMi-Fi watumiajiwanawezakuchangiaintanetiyenyekasiya Smile 4GLTE wakiwaofisini, nyumbani au wakiwanjiani. Masaayamawasilianobilayabugudhasasayanawezekanakwakutumia Smile Mi-Fi, ambayoinabetriinayokaamudamrefumpakamasaa 8 yamatumiziyakawaidayaintaneti" alisemaBw.Ndejembi.
Smile Mi-Fi inamuundowakuvutianawakisasa. Kioochakekinaruhusumtumiajikuonakwaurahisihaliyamawasiliano, matumiziyakifurushi, nguvuyamawasiliano, kalendanamuda. Kutumiakifaahikinirahisi, “chomekanatumia” (Plug and Play), nahakihitajikuwana program yoyoteilikiwezekufanyakazi.
"Tuna furahakubwakutangazapromoshenihii, nakutoanafasikwaWatanzaniazaidikujioneakasinaufanisiwamtandaowetuambaounaendasambambanamitandaoyenyekasidunianiilikuendananamahitajiyanayobadilikayajamiiyaWatanzania” alisema Fiona McGloin, Menejawa Smile Tanzania na Uganda.
------ MWISHO ---------

KUHUSU SMILE COMMUNICATIONS TANZANIA
Smile Communications Tanzania nisehemuya Smile Telecoms Holdings Limited (Smile), ambayoilianzishwamwaka 2007 nchini Mauritius. Smile Telecoms Holding inafanyabiasharanchini Tanzania, Uganda, JamhuriyaKidemokrasiayaKongo (DRC) Nigeria naAfrikaKusini. Katikamasokoyakeyote, Smile imekuwamuanzilishikatikakutumiateknolojiazakisasa, kama vile 4GLTE ilikuongezakasiyaupatikanajiwaintanetinakujipenyezakatikasoko.

Witonamalengoya Smile nikutoahudumazamawasilianozilizo bora, rahisikutumianazagharamanafuukwakilamtukatikabara la Afrika, kwakutumiaubunifuwakibiasharanateknolojiazakisasazenyegharamanafuu.



Kwamaswaliyavyombovyahabari:

MuffadalEssaji
Head of Marketing, Smile Communications Tanzania
Barua-pepe: muffadal.essaji@smilecoms.com  
Tel: + 255 (0) 758 811164

TovutiyaSmile: www.smile.co.tz
https://twitter.com/SmileComsTZ

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...