Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, December 7, 2013

KIDUMU ATUA NCHINI KUWASHA MOTO CLUB E LEO


Msanii kutoka nchini Burundi, Jean Pierre “Kidum” akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julias Nyerere jana usiku kuja kutumbuiza katika Shererhe ya Kampuni ya Sigara Tanzania(TCC) “CLUB E” inayotarajiwa kufanyika leo katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.

Msanii kutoka nchini Burundi, Jean Pierre “Kidum”(kulia) akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julias Nyerere jana usiku kuja kutumbuiza katika Shererhe ya Kampuni ya Sigara Tanzania(TCC) “CLUB E” inayotarajiwa kufanyika leo katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam. Kushoto ni mwenyeji wake, Ather.
Msanii kutoka nchini Burundi, Jean Pierre “Kidum” (katikati) akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julias Nyerere jana usiku na waimbaji wake kuja kutumbuiza katika Shererhe ya Kampuni ya Sigara Tanzania(TCC) “CLUB E” inayotarajiwa kufanyika leo katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...