Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, December 5, 2013

DR SLAA AITEKA KAHAMA KATIKA ZIARA YAKE


Katibu mkuu  wa  Chadema  Dr  Wilbroad Slaa akiwahutubia  wananchi  wa Kahama mara  baada ya  kuwasili mjini hapo kwa  ziara  yake  ya  kichama jana
Dr Slaa akisalimiana na  wananchi waliofika  kumpokea mjini Kahama  jana. leo Desemba 5, atakuwa Wilaya ya Kakonko, Jimbo la Buyungu na Desemba 6, atakuwa Jimbo la Muhambwe.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...