Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, June 1, 2014

USAILI WA SHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS KWA KANDA YA PWANI WASITISHWA HADI HAPO TUTAKAPOWATANGAZIA


 Baadhi ya wadau wa Tanzania Movie Talents wakijadiliana Jambo Kwa ajili ya Kusitisha Usaili wa Dar Kutokana na Msiba uliotokea wa Muongozaji Mahiri wa Vipindi na Filamu Tanzania, Marehemu George Tyson.
 Majaji wa Shindano la Tanzania Movie Talents, Single Mtambalike na Roy Sarungi wakijadiliana jambo kutokana na Kufiwa na Mmoja wa Jaji katika Shindano hilo Vyonne Cherry
Washiriki waliofika wakipewa maelekezo kuhusiana na kusitishwa kwa usaili wa Shindano la Tanzania Movie Talents kwa Kanda ya Pwani

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...