Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, June 22, 2014

NGUMI ZILIVYOPIGWA ULONGONI A GONGOLAMBOTO




Bondia Said Uwezo kulia akioneshana umwamba na Thobias Adaut wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa swai pub ulongoni 'B'  gongolamboto Uwezo alishinda kwa point mpambano huo wa raundi nne  picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Ambokile Chusa kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Shujaa Keyakeya wakati wa mpambano wao uliofanyika Ulongoni Gangolamboto Keyakeya alishinda kwa point picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Mbaruku Kheri kushoto akioneshana umwamba na Stevin Mwalitwanga wakati wa mpambano wao kheri alishinda kwa K,O ya raundi ya pili picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Mbaruku Kheri kulia akioneshana umwamba na Stevin Mwalitwanga wakati wa mpambano wao kheri alishinda kwa K,O ya raundi ya pili picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...