Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, June 10, 2014

MAZIKO YA ALWATAN SMALL WA NGAMBA


Mwili wa msanii mkongwe wa maigizo nchini, Mzee Small, umezikwa katika makaburi ya Segerea, Dar es Salaam leo. Mamia ya watu walihudhuria maziko yake. (PICHA NA GLOBAL)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...