Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, June 22, 2014

KAMANDA KOVA AZINDUA PIKIPIKI YA HERO DAWN 125 CC

  Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova (katikati), na  Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya  Astarc Motors Tanzania Ltd, Sameer Musale (kushoto), akifungua kitmbaa kuashiria
uzinduzi wa pikipiki mpya aina ya Hero Dawn 125cc katika hafla yailiyofanyika jijini Dar es Salaam jana.
  Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova akijaribu moja ya pikipiki mpya aina ya Hero Dawn 125cc katika hafla ya uzinduzi wa pikipiki hiyo jijini Dar es Salaam jana. Wa tatu
kushoto ni  Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya  Astarc Motors Tanzania Ltd, Sameer Musale na  wawakilishi kutoka Astarc.
 Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova (kulia), akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya  Astarc Motors Tanzania Ltd, Sameer Musale (kushoto) katka hafla hiyo.
  Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Kanda ya Dar es Salaam Kamishna Msaidizi wa Polisi, Amiri Konja (kulia) akitoa rai kwa waendesha bodaboda kutii sheria za barabarani ili klupunguza ajali ambazo tawimu zinaonyesha kuongezeka. Kulia kwake ni  Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova (katikati), na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya  Astarc Motors Tanzania Ltd, Sameer Musale.
 Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Roma Mkatoliki akitoa burudani katika hafla ua uzinduzi wa pikipiki aina ya Hero Dawn 125cc jijini Dar es Salaam jana.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...