Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, June 5, 2014

HIVI NDIVYO MSAFARA ULIVYOKUWA WAKATI WA KUUPELEKA MWILI WA MAREHEMU GEORGE TYSON UWANJA WA NDEGE KWAAJILI YA KUUSAFIRISHA NCHINI KENYA


 Msafara wa Magari ukiongozwa na Askari wa Usalama Barabarani atumiaye Pikipiki Ukikatiza eneo la Daraja la Salenda ukielekea Uwanja wa Ndege wa Mwl Julius Nyerere Kuupeleka Mwili wa Marehemu George Tyson kwaajili ya Kuusafirisha Nchini Kenya Kwa Mazishi.
 Msafara Ukikatiza barabara ya Ali Hassan Mwinyi kuelekea uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwl Julius Nyerere
 Ukikatiza katika Barabara ya Nyerere eneo la Gerezani kuelekea Uwanja wa Ndege wa Mwl Nyerere
 Msafara ukiingia Uwanja wa Ndege Wa Mwl Nyerere sehemu ya Mizigo kwaajili ya Kuupeleka Mwili wa Marehemu George Tyson tayari kwa kuusafirisha Kuelekea Nchini Kenya.
 Baadhi ya Wadau walioambatana na Msafara uliopeleka Mwili wa Marehemu George Tyson Uwanja wa Ndege kwaajili ya Kusafirishwa Nchini Kenya wakibadilishana mawazo wakati wakisubiria taratibu za kuupokea Mwili huo eneo la Mizigo kukamilika.Picha Zote na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...