Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, June 12, 2014

TASAF YAENDESHA WARSHA ELEKEZI KWA WATEKELEZAJI WA PSSN.



 Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw. Ladislaus Mwamanga (katikati waliokaa) na wakurugenzi wengine wa TASAF Wakiwa kwenye picha ya pamoja na Waratibu wa mikoa wa mamlaka ya eneo la utekelezaji wa halamashauri 22 baada ya ufunguzi wa warsha ya siku mbili mjini Mtwara
 Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw. Ladislaus Mwamanga akifungua Warsha elekezi  ya siku mbili kwa maafisa ushauri na ufuatiliaji, waratibu wa mikoa, waratibu na wahasibu wa mamlaka ya eneo la utekelezaji wa halamashauri 22 nchini inayofanyika katika ukumbi wa chuo kikuu cha SAUT Mjini Mtwara
 Mkurugenzi wa mpango wa TASAF Bw. Amadeus Kamagenge akitoa maelezo juu ya mpango wa kuzinusuru kaya masikini na zilizo katika mazingira hatarishi katika warsha hiyo
 Washiriki wa warsha hiyo wakiwa wamenyoosha mikono juu kama ishara ya kukubaliana na jambo wakati Mkurugenzi mkuu wa TASAF Bw. Ladislaus Mwamanga (hayupo pichani) alipokuwa akifungua warsha hiyo
 Sehemu ya washiriki wa warsha hiyo wakisikiliza kwa makini uwasilishi wa moja kati ya mada ilyokuwa ikiwasilishwa. 
 Baadhi ya washiriki wa warsha hiyo wakisikiliza kwa makini uwasilishi wa moja kati ya mada iliyokuwa ikiwasilishwa
Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Bw. Ladislaus Mwamanga, na wakurugenzi wengine toka TASAF Makao Makuu wakiwa kwenye picha ya pamoja  na waratibuwa  mamlaka ya eneo la utekelezaji wa Halamashauri 22 nchini (waliyosimama) Mjini Mtwara

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...