Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, June 14, 2014

SHAMRA SHAMRA ZA UFUNGUZI WA ZIFF 2014 NDANI YA NGOME KONGWE.



DSC_0002
Jukwaa litakalotumika kwa masuala ya burudani kuanzia leo Juni 14 hadi 22 ndani ya Ngome Kongwe katika ukumbi wa Mambo Club linavyoonekana muda huu kwenye hatua ya mwisho kuelekea ufunguzi rasmi saa moja jioni.(Picha na Zainul Mzige modewjiblog)
Opening Night: Mandela: Long Walk to Freedom
June 14th 20:20 Old Fort Ampitheatre
Opening Night Concert:
June 14th Mambo Club
Tamaduni Music (Tanzania) followed by BODY, MIND & SOUL (Malawi)
DSC_0003
Mwandishi wa gazeti la Tanzania Daima, Andrew Chale akiwa kwenye ukumbi wa Mambo Club - Ngome Kongwe visiwani Zanzibar. Kulia ni baadhi ya raia wa kigeni wakivinjari kwenye viunga hivyo.
DSC_0009
Sehemu maalum itakayokuwa ikitoa huduma wa chakula na vinywaji.
DSC_0022
Music Coordinator wa ZIFF, Edward Lusala (mwenye t-shirt ya blue) akiongoza baadhi ya wasanii kuelekea jukwaani kwa ajili ya mkutano mfupi na waandishi wa habari waliowasili mchana huu.
DSC_0034
Afisa Mawasiliano wa ZIFF, Hassan Musa “Has T” akiwatambulisha wasanii watakaotoa burudani leo kwenye ufunguzi wa Tamasha la 17 la filamu la nchi za Majahazi ZIFF kwenye mkutano mfupi na waandishi wa habari (hawapo pichani).
DSC_0042
DJ maarufu Kahlil Jacobs-Fantauzzi kutoka Puerto Rico(kushoto) akiwaeleza waandishi wa habari (hawapo pichani) namna atakavyosugua sahani za muziki usiku wa leo. Wengine ni wanamuziki wa kundi la BODY, MIND & SOUL kutoka Malawi.
DSC_0075
Music Coordinator wa ZIFF, Edward Lusala akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kuwatambulisha wasanii watakaotoa burudani kwenye ufunguzi wa tamasha hilo.
DSC_0044
Kutoka kushoto ni Afisa Mawasiliano wa ZIFF, Hassan Musa “Has T”, Andrew Chale kutoka Tanzania Daima, Festo Polea kutoka Mtanzania pamoja na Music Coordinator wa ZIFF, Edward Lusala wasikiliza vionjo kutoka kwa wasanii wakati wa utambulisho.
DSC_0092
Picha ya pamoja na Ma-DJ's na wasanii watakaotoa burudani leo kwenye tamasha la 17 la ZIFF 2014.
DSC_0098
Wasanii wa kundi la BODY, MIND & SOUL kutoka nchini Malawi wakiwa na mmoja wa wapiga picha wa ZIFF (katikati).
DSC_0102
Ma DJ's watakaotoa burudani siku zote za tamasha la ZIFF 2014.
DSC_0108
Wasanii wa muziki wa HIP HOP kutoka kundi la TAMADUNI MUSIC nao watakinukisha usiku wa leo.
DSC_0111
Lango kuu la kuingia Ngome Kongwe patakapofanyika tamasha la ZIFF 2014 linavyoonekana muda huu.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...