Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, July 19, 2019

JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28


Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi  yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo Choki anajiandaa na Mashindano ya King Of The Ring yatakayofanyika julai 28 jijini Dar es salaam



Bondia Vicent Mbilinyi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi  yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo Choki anajiandaa na Mashindano ya King Of The Ring yatakayofanyika julai 28 jijini Dar es salaam

Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi  yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo Choki anajiandaa na Mashindano ya King Of The Ring yatakayofanyika julai 28 jijini Dar es salaam

Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi  yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo Choki anajiandaa na Mashindano ya King Of The Ring yatakayofanyika julai 28 jijini Dar es salaam

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...