Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, September 2, 2010

RAS NAS KUFANYA SHOO KUBWA JUMAMOSI OSLO,NORWAY


Ras Nas aka Nasibu Mwanukuzi na skwadi yake wako tayari kufanya shoo ya kufa mtu kwenye kiota cha maraha jijini Oslo, Skuret Konsertscene, Jumamosi hii.

Mambo yataanza saa nne usiku. Sasa wabongo waishio Oslo kazi kwenu, habari ndio hiyo! Wanamuziki wa Ras Nas ni Aris Milongo (Congo), Uriel Seri (Ivory Coast), Chuck Frazier (Texas), Dag Pierre (Sweden) na Thomas Langvann (Norway).

Vile vile atakuwepo Dj Dominic (UK) akikwaruza santuri kabla na baada ya shoo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...