Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, September 2, 2010

VODA COM MIS TANZANIA WAWAPA SOMO WAREMBO

Afisa huduma na bidhaa wa Vodacom Tanzania ,Elihuruma Ngowi akiwagawia Warembo wanaoshiriki shindano la Vodacom Miss Tanzania 2010 Line za simu, baada ya kumaliza kutoa semina kwa warembo hao iliyohusiana na huduma zinazotolewa na Kampuni ya Simu za Mkononi ya Vodacom Tanzania .iliyofanyika katika Hoteli ya Giraffe View .

Mmoja wa Warembo wanaowania Taji la Vodacom Miss Tanzania 2010, Irene Hezron (22) akiuliza swali kuhusiana na huduma ya M-PESA katika semina iliyofanyika leo katika hoteli ya Geraffe walikoweka kambi warembo hao.Jumla ya warembo 30 walipewa mafunzo juu ya huduma mbalimbali zinazotolewa na Kampuni ya Vodacom Tanzania.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...