Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, July 17, 2012

Mke wa Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Bi.Asha Seif Balozi Ashiriki Fainali Za Kombe la Zaweda


 Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Mohammed Raza, akimkabidhi Kombe la Ubingwa na ZAWEDA , nahodha  wa timu ya Newstar ya Kiwengwa Masoud  Maulid, baada ya kuishinda timu ya White Kids ya Mahonda,katikati Mke wa Makamu wa Pili wa Rais Mama  Mbunge wa Kitope Bi.Asha Seif Balozi. mchezo uliofanyika uwanja wa Kitope. 1--0
 Mwakilishi  wa Jimbo la Uzini Mohammed Raza, akimkabidhi  Seti ya Jezi na Mpira Nahodha wa timu ya  White Kids, Ussi Ali, baada timu yake kuibuka mshindi wa Pili wa michuano hiyo.
 Mwakilishi wa jimbo la Uzini Mhe.Mohammed Raza na Mke wa Mbunge wa jimbo la Kitope Mama Asha Balozi.wakibadilishana mawazo wakati wa  mapumziko ya mchezo huo wakiwa na wajumbe  wa kamati ya michuano hiyo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...