Wachezaji
wa Yanga wakishanngilia bao la nne dhidi ya El Salam Wau ya Sudan wakati wa
mechi ya Ligi ya Kagame iliyochezwa Uwanja wa Taifa Dar es Salam
Wakipongezana
Mchezaji
wa Yanga , Hamis Kiiza akishangilia kwa hisia mara baada ya kufunga bao sita la
kiifundi dhidi ya El Salaam Wau ya Sudan wakati wa mechi ya Ligi ya Kagame
iliyochezwa Uwanja wa Taifa Dar es Salaam
Mchezaji wa timu ya Yanga,Hamis Kiiza akipiga cross
Mwenekiti
mpya wa Yanga, Yusuf Manji akishuhudia Timu yake
No comments:
Post a Comment