Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, July 17, 2012

NMB YATOA ZAWADI KWA MWANAFUNZI BORA MWENYE UFAHAMU KUHUSU MASUALA YA KIBENKI


Meneja wa huduma kwa wateja wa benki ya NMB tawi la Same , Anna Efrem (kushoto) akikabidhi zawadi kwa mwanafunzi Omari Silayo baada ya kuibuka mshindi wa kwanza kwa wanafunzi wa shule ya msingi Majengo iliyopo wilayani Same,kujibu maswali vizuri juu ya ufahamu wa masuala ya kibenki kuhusu mpango wa NMB  Financial Fitness uliozinduliwa na benki hiyo kwa watoto wilayani humo.PICHA NA GLADNESS MUSHI,

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...