Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, October 2, 2013

WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHINI DK EMMANUEL NCHIMBI, MKURUGENZI WA IOM KANDA YA AFRIKA MASHARIKI NA PEMBE YA AFRIKA USO KWA USO JIJINI DAR ES SALAAM LEO



 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi (kushoto) akimfafanulia jambo Mkurugenzi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na Wahamiaji (IOM) Kanda ya Afrika Mashariki na Pembe ya Afrika, Ashraf El Nour alimpomtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo. Kiongozi huyo wa IOM alifika ofisini kwa Dk Nchimbi kwa lengo la kubadilishana mawazo kuhusiana na masuala mbalimbali ya wahamiaji. 
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi (kushoto) akimsikiliza Mkurugenzi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na Wahamiaji (IOM) Kanda ya Afrika Mashariki na Pembe ya Afrika, Ashraf El Nour alimpomtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo kwa lengo la kubadilishana mawazo kuhusiana na masuala mbalimbali ya wahamiaji. Kulia ni Mwakilishi Mkazi wa IOM nchini, Damien Thuriaux. 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi (kushoto) akimshukuru Mkurugenzi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na Wahamiaji (IOM) Kanda ya Afrika Mashariki na Pembe ya Afrika, Ashraf El Nour kwa kumtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo kwa lengo la kubadilishana mawazo kuhusiana na masuala mbalimbali ya wahamiaji. Kulia ni Mwakilishi Mkazi wa IOM nchini, Damien Thuriaux. Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI.WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...