Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, April 22, 2016

BARIDI BAND YATOA KIBAO IPYA CHA MOLA NILINDE

Na Mwandishi Wetu

KATIKA Band zinazokuja kwa kasi apa nchini moja wapo ni Baridi Band yenye maskani yake Chanika Dar Es Salaam bendi hiyo inayokuja kwa kasi ya juu imekuwa gumzo kw sasa

Baada ya kutoa kibao chake kipya kabisa cha 'Mola Nilinde' inayotamba akizungumza wakati wa mahojiano na mwandishi wa habari hizi mkurugenzi  wa Baridi Bandi  King Nayowe

Amesema bendi yao ilianza mwaka Desemba 2014 ikiwa na wanamuziki 13 imekuwa ikifanya maonesho mbalimbali Chanika na vitongoji vyake kwa ajili ya kutoa burudani kwa wakazi hawo

pia imesha rekodi nyimbo mbili na video moja ambayo inatamba katika vituo vya radio na stesheni mbalimbali za luninga 

aliwataja baadhi ya wanamuziki wa bendi hiyo kuwa ni Saby Ally Orrgan Mwanambeti,Robart Mwanabeti,Yusuph Othumani  Maki hawo ni baadhi yao katika bendi hiyo

mpaka sasa ina nyimbo mpya kazaa ikiwemo tumetoka mbali, Dunia na Mola nirinde

bendi hiyo imesajiliwa kwa usajili wake katika baraza la sanaa la Taifa kwa ajili ya kufanya shughuli za Sanaa na kutoa burudani mbalimbali za mziki wa Dansi










No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...