Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, September 30, 2016

MABONDIA DEO SAMWELI NA FABIAN LYMO WASAINI KUZIPIGA NOVEMBA MOSI MANZESE


 

Mabondia Deo Samweli kushoto na Fabian Lymo wakitunishiana misuli mbele ya promota wao Hassan Magole baada ya kuwasainisha mpambano wa raundi kumi utakaofanyika Novemba mosi katika ukumbi wa kobelo Pub Manzese Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondia Fabian Lymo kushoto na Deo Samweli 
  wakitunishiana misuli 
baada ya kusainisha mpambano wa raundi kumi utakaofanyika Novemba mosi katika ukumbi wa kobelo Pub Manzese Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS

Rais wa Kamisheni ya ngumi za kulipwa nchini TPBC Chaurembo Palasa kulia akishudia bondia Deo Samweli akitia saini kuzipiga na Fabian Lymo novemba mosi kushoto ni  promota wao Hassan Magole
Rais wa Kamisheni ya ngumi za kulipwa nchini TPBC Chaurembo Palasa kulia akishudia bondia Fabian Lymo akitia saini kuzipiga na Deo Samweli novemba mosi kushoto ni  promota wao Hassan Magole




Mabondia Deo Samweli kushoto na Fabian Lymo wakitunishiana misuli mbele ya promota wao Hassan Magole baada ya kuwasainisha mpambano wa raundi kumi utakaofanyika Novemba mosi katika ukumbi wa kobelo Pub Manzese Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS

Mabondia Deo Samweli kushoto na Fabian Lymo wakitunishiana misuli mbele ya promota wao Hassan Magole baada ya kuwasainisha mpambano wa raundi kumi utakaofanyika Novemba mosi katika ukumbi wa kobelo Pub Manzese Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...