Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, October 18, 2016

MAKOCHA WA MCHEZO WA MASUMBWI WAKUTANA KUJADILI CHANGAMOTO ZA MCHEZO UHO



Kocha wa mchezo wa masumbwi nchini kutoka Tanga Chalres Muhiru kulia akifafanuwa jambo wakati wa kikao cha makocha kiricho itishwa na KINYOGOLI FONDOTION mwishoni mwa wiki iliyopita kushoto ni Habibu Kinyogoli Master Picha na SUPER D BOXING NEWS


 Kocha wa mchezo wa ndondi Habibu Kinyogoli Masta akizungumza na makocha walio hudhulia katika kikao cha makocha kilichofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita kulia na Charles Muhiru Spens Picha na SUPER D BOXING NEWS
 MAKOCHA WA MCHEZO WA MASUMBWI WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA BAADA YA KIKAO CHAO
 Makocha wa mchezo wa masumbwi wakiwa katika picha ya pamoja baada kikao chao waliosimama kutoka kushoto ni Sako Mtulya, Ibrahimu Kamwe, Ally Bakari, Michael Buchato na waliokaa kutoka kushoto ni Chalres Muhiru wa Tanga Habibu Kinyogoli pamoja na Kocha wa kimataifa wa machezo huo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' Picha na SUPER D BOXING NEWS
Makocha wa mchezo wa masumbwi wakiwa katika picha ya pamoja baada kikao chao waliosimama kutoka kushoto ni Sako Mtulya, Ibrahimu Kamwe, Ally Bakari, Michael Buchato na waliokaa kutoka kushoto ni Chalres Muhiru wa Tanga Habibu Kinyogoli pamoja na Kocha wa kimataifa wa machezo huo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' Picha na SUPER D BOXING NEWS

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...