Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, July 19, 2012

MUENDELEZO WA MATUKIO YA AJALI YA BOTI YA SEAGULL KATIKA PICHA


 Baadhi ya abiria waliokuwa katika Boti hiyo iliyozama jana katika eneo la Kisiwa cha Chumbe, wakiwa juu ya mgongo wa Boti hiyo wakisubiri kuokolewa, wakati boti hiyo ikizama.
 Baadhi ya abiria wakiwa katika Chombo cha kuokolea baada ya kuokolewa.
 Meli ya KMKM ikiranda Baharini kuokoa watu waliokuwamo katika Boti hiyo.
 Mmoja kati ya watoto waliookolewa akisindikizwa.
 Baadhi ya watalii wazungu waliokuwa katika Boti hiyo waliookolewa.
 Askari wakibeba mwili wa mmoja kati ya waliofariki katika ajali hiyo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein,(wa pili kulia) akiwa na Viongozi Wakuu wa Serikali alipofika katika Ofisi za Shirika la Bandari, Malindi Unguja kupata taarifa sahihi ya ajali hiyo jana ya Meli ya MV Sky Get ikitokea Dar es Salaam kuelekea Unguja.Picha na Ramadhan Othman,IKulu.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...