Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, August 25, 2015

ONESMO NGOWI AMPIGA TAFU YA VIFAA BONDIA LULU KAYAGE


Rais wa I.B.F Africa Onesmo Ngowi kulia akimkabidhi vifaa vya mchezo wa ndondi bondia Lulu Kayage baada ya kutembelea ofisi za rais huyo zilizopo posta Dar es salaam Lulu Kayage ataondoka nchini kuelekea Afrika ya kusini kwa ajili ya mchezo wake mwingine kabla ya kugombania ubingwa wa I.B.F Afrika mnamo Desemba 2 mwaka uhu
Rais wa I.B.F Africa Onesmo Ngowi wa pili kulia akiwa na bondia Lulu Kayage wa pili kushoto kulia ni George Sabuni na kushoto ni Hamisi Berege
BONDIA LULU KAYAGE AKIPOZI KATIKA OFISI ZA I.B.F AFRIKA
BONDIA LULU KAYAGE AKIPOZI KATIKA OFISI ZA I.B.F AFRIKA
BONDIA LULU KAYAGE AKIPOZI KATIKA OFISI ZA I.B.F AFRIKA

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...