Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, December 27, 2012

Bilal Muslim Mission yawezesha watu 90 kuweza kuona wilayani Ruangwa




 Mkuu wa wilaya ya Ruangwa,Agness Hokororo akiwasalimia baadhi ya wagonjwa waliofanyiwa upasuaji wa macho bila malipo kwa udhamini wa Bilal Muslim Mission wilayani humo
 Mbunge wa Jimbo la Ruangwa ambae pia ni Naibu waziri wa Tamisemi,Kassim Majaliwa akiwa na Bi Somoe Omary alipomtembelea katika hospital ya wilaya ya Ruangwa baada ya kufanyiwa upasuaji wa macho na kuweza kuona baada ya kutoona kwa miaka 10
 Bi Somoe Omary akifurahi baada ya kufanyiwa upasuaji na kuweza kuona baada ya kutoona kwa miaka 10
 Bango la matangazo
Mbunge wa Ruangwa akiwa pamoja na Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ,Reubern Mfune wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wagonjwa waliotibiwa na kuweza kuona.
Picha zote na Abdulaziz Video

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...