Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, December 24, 2012

RAIS KIKWETE APONGEZWA NA WASANII WAKONGWE KWA KUWAJALI






Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisikiliza Risala kutoka kwa wasanii Wakongwe waliofika Ikulu Dar es Salaam, leo kwa ajili ya kumpongeza na kumpatia ujumbe wa wasanii wakongwe wa muziki wa dansi pamoja na filamu
kwa kuwajali wasanii wa aina zote na hata kuamua kutoa tuzo kwa wasanii ambapo mwaka huu amewatunuku Muhidin Maalim Gurumo na Hayati Marijani Rajabu.


Rais Kikwete, akiagana na wasanii hao waliofika Ikulu leo kwa ajili ya kumpongeza.

Rais Kikwete, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wasanii wakongwe, waliofika Ikulu Dar es Salaam, leo kumpongeza. Picha na IKULU

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...