Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, December 31, 2012

TRA Tatizo nini Sheria au Mfumo?


Kwamujibu wa sheria tunazotangaziwa na mamlaka ya mapato hapa nchini mwenye bango hili hapa nae anapasa kulilipia kodi lakini je niwenye mabango wangapi kama haya wanalipa? nakama wanalipa hiyo kodi kweli inafika TRA ? Kama halipi au kodi haifiki tatizo nini Sheria au mfumo? Tushirikiane tujenge nchi! Bango hili limenaswa na kamera yetu mbele ya kituo cha Polisi cha Urafiki hii leo. Kama kungekuwa na umakini wa ukusanyaji wa kodi kutokana na vyanzo vilivyoainishwa na sheria serikali ingeweza kukusanya kodi ya karibu Tsh.Trilioni moja kwa mwezi badala ya i Tsh Billioni500 za sasa.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...