
Katika shindano hilo wanashiriki
warembo kutoka mataifa mbalimbali ya ukanda wa nchi za Afrika Mashariki
na na baadhi ya nchi jirani na ukanda h ambapo mshindi wa shindano hilo
anatarajiwa kujinyakulia zawadi zenye thamani ya dola za Kimarekani elfu
thelathini 30,000.
Kushoto ni Guetano Kagwa ambaye
atakuwa MC wa shindano hilo na kulia ni Serge Nkurunzinza Mwakilishi wa
Miss East Africa nchini Burundi .
No comments:
Post a Comment