Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, December 21, 2012

NHC YATANGAZA TAREHE YA KUANZA KUUZA NYUMBA ZA BEI POA KIBADA,KIGAMBONI DAR


 Mkurugenzi wa Uendelezaji wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), David Shambwe akitangaza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, muda wa kuanza kuuza nyumba 290 za bei nafuu zinazojengwa Kibada, Kigamboni zitakazoanza kuuzwa Januari 2, mwakani. Kulia ni Meneja Masoko na Utafiti wa NHC, Itandula Gambalagi. PICHA NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Waandishi wa habari wakiwa kazini wakati wa mkutano huo uliofanyika leo NHC Kanda ya Kinondoni
 David Shambwe ( wa Pili kulia) akifafanua jambo katika mkutano huo. Kutoka kushoto ni Muungano Saguya ambaye ni Corporate Social Responsinbility Manager, Meneja wa Mkoa wa NHC Kanda ya Kinondoni, Erasto Chilambo na Meneja Masoko na Utafiti wa NHC, Itandula Gambalagi.

1 comment:

  1. Shirika Mpango gani na nyumba being nAfuu Kilimanjaro

    ReplyDelete

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...