Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, August 14, 2014

Afande Sele apata msiba wa Mama Tunda


Afande Sele
Afande Sele na aliyekuwa mkewe pamoja na mtoto wao Tunda
MSANII mkiongwe wa muziki wa kizazi kipya nchini, Selemani Mshindi 'Afande Sele' amepata pigop baada ya aliyekuwa mkewe, Asha au Mama Tunda kufariki dunia.
Afande Sele amewajulisha watu wake wa karibu na mashabiki kuhusu msiba uliomkuta kwa kufiwa na mama wa mwanae Tunda kupitia ukurasa wa facebook.
Msiba huo umekuja ikiwa ni miezi kadhaa tangu wawili hao walipotangaza kuachana wakiwa tayari wamejaliwa kuzaa watoto wawili. MUNGU AIPOKEE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA.
AFANDE

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...