Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, August 24, 2014

SITTI MTEMVU NDIYE MISS TEMEKE 2014


 Redd's Miss Temeke 2014, Sitti Mtemvu akipunga mkono huku akiwa na mshindi wa Pili, Salma Saleh (kushoto) na watatu, Neema Mollel, baada ya kutangazwa kuwa washindi wa shindano hilo.
 Warembo walioingia Tano bora wakipozi kusubiri hatua ya kupambana katika kujibu maswali.

 Miss Ilala, wakifuatilia shindano la Redd's Miss Temeke, Viwanja vya TCC Club, Chang'ombe, Dar es Salaam
 Washiriki wa Redd's Miss Temeke, wakionesha shoo, wakati wa shindano hilo.

Mshindi wa Pili wa Redd's Miss Temeke 2013, Narietha Boniface, akimvisha taji Redd's Miss Temeke 2014, Sitti Mtemvu baada ya kuibuka mshindi katika shindano hilo, TCC Chang'ombe

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...