Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, August 11, 2014

BONDIA JUMANNE MASHOMBO AMGALAGAZA SALUMU GUMBO KWA POINT


Bondia Jumanne Mashomba akinyooshwa mkono juu kuashilia mshindi na refarii Rajabu Mhamila 'Super D' baada ya kumpiga Salumu Gumbo kwa point
 Salumu Gumbo kushoto akipambana na Jumanne Mashombo wakati wa mchezo wao mashombo alishinda kwa point
 Jumanne Mashombo kushoto akipambana na Salumu Gumbo wakati wa mchezo wao uliofanyika mwishoni mwa wiki Mashombo alishinda kwa point
 wakisubili matokeo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...