Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, August 18, 2014

MAULID KITENGE AACHA KAZI ITV NA RADIO ONE LEO.



MTANGAZAJI machachari wa habari za michezo kupitia kituo cha Televisheni cha ITV na Radio One, Maulid Baraka Kitenge (pichani) leo kupitia akaunti yake ya Twitter ametangaza rasmi kubwaga manyanga (kuacha kazi) katika Kampuni hiyo aliyokuwa akiifanyia kazi baada ya kuitumikia kwa kipindi cha miaka 14. chini ni ujumbe wake aliouandika kupitia akaunti yake ya Twitter.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...