Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, August 20, 2014

EXTRA BONGO KUSINDIKIZA MASAI SAFARI BANDI KATIKA UZINDUZI WA ALBAM YAO


Wapiga magitaa wa bendi ya masai safari band wakichalaza magitaa wakati wa mazoezio yao ya kujiandaa na uzinduzi wa albam yao ya kwanza kushoto Josephe Bivence na Juma Ali

Wapiga magitaa wa bendi ya masai safari band wakichalaza magitaa wakati wa mazoezio yao ya kujiandaa na uzinduzi wa albam yao ya kwanza kushoto Josephe Bivence na Juma Ali
Na Mwandishi Wetu
 BENDI ya masai safari ya jijini Dar es salaam inatarajia kuzindua albam yake ya kwanza kabisa

watakayozindua siku ya augost 30 katika ukumbi wa raunch time ya jijini akizungumzia uzinduzi wa albam hiyo rais wa bendi hiyo Fransic Mwaisela amesema kwamba siku hiyo watasindikizwa na bendi mbalimbali wakiongozwa na bendi ya Extra bongo inayo ongozwa na Ali Choki

alizitaja nyimbo zilizomo katika albam hiyo ni sita itakayozinduliwa siku hiyo ikiwa nyimbo ambayo iliyobeba albam ni akuna kama baba ya pili ni njia panda,mikono ni kazi,ndoa ni mpango wa mungu,usiwasikilize wambeya,kilio changu nyimbo hizo ndio zitakazokuwa katika albam hiyo itakayo zinduliwa mwishoni mwa mwezi huu


aliongeza kwa kutaja wasanii wengine watakaokuwepo siku hiyo ni Omari Tego,Maua Tego pamoja na wasanii mbalimbali wa bondo flefa watakaosindikiza uzinduzi uho

bendi hiyo kwa sasa ipo kwenye mazoezi ya nguvu kwa ajili ya kutoa burudani kabambe siku ya uzinduzi wa albam ya bendi hiyo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...