Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, August 29, 2014

Huu ndio ujio mpya wa Benjamini wa Mambo Jambo


MWANAMUZIKI Benjamin wa Mambo Jambo ameamua kuvunja ukimya akijiandaa kurudi kwa kishindo na ngoma mpya inayofahamika kama Kata K. Mwanamuziki huyo amebainisha kuwa alikuwa masomoni kiasi cha kushindwa kuwashushia mashabiki wake burudani zilizozoeleka, ila kwa sasa amewataka mashabiki hao kaeni mkao wa kula kwani amerejea kimoja katika 'game'.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...