Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, August 11, 2014

NGUMI ZILIVYOPIGWA MBAGALA


 Bondia Maulid Gogodigo kushoto akioneshana umwamba na Hassan Kidebe wakati wa mpambano wao uliofanyika Mbagala katika ukumbi wa Amenya Pub Kidebe alishinda kwa point mpambano huo picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
 Bondia Maulid Gogodigo kushoto akioneshana umwamba na Hassan Kidebe wakati wa mpambano wao uliofanyika Mbagala katika ukumbi wa Amenya Pub Kidebe alishinda kwa point mpambano huo picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Seleman Mkalakala  kushoto akipambana na Ibrahim Maokola wakati wa mpambano wao wa ubingwa wa tpbc uliofanyika katika ukumbi wa amenya pub mbagala Maokola alishinda kwa K,o ya raundi ya nne katika mpambano huo picha na
www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Ibrahimu Maokola akivalishwa mkanda na Habibu Kinyogoli
Maokola akishangilia baada ya kunyakua mkanda wa TPBC

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...