Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, March 12, 2015

TIGO YATOA MISAADA KWA WAHANGA WA MAFURIKO KAHAMA


Wanakijiji wa Mwakata walioathirika na mafuriko, wakimsikiliza Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Ziwa, Bw. Ally Maswanya(hayupo pichani), baada ya kutoa msaada wa vyakula na vifaa vya ndani ya nyumba vilivo gharimu milioni 30 Tshs

Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa, Bw.Ally Maswanya(kulia) akimkabidhi baadhi ya vyakula, vilivyio gharimu milioni 30 ,Mkuu wa wilaya ya Kihama Bw.Benson Mpesya(kushoto) kwa ajili ya waathirika wa mafuriko,  katika kijiji cha Mwakata, wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga.

Baadhi ya magodoro na vyakula vilivyotolewa na Tigo, kama msaada kwa waathirika wa mafuriko katika kijiji cha Mwakata, wilaya ya Kahama,mkoani Shinyanga.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...