Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, December 10, 2012

NMB YAKABIDHI MADAWATI SHULE YA MSINGI VICTORIA


Meneja wa benki ya NMB tawi la NMB House Bi. Benedictor Byabyato (kulia) akikabidhi madawati 25 yenye thamani ya shilingi milioni 5 kwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Victoria Bw. Sufini Mbwambo iliyopo Dar es Salaam wiki iliyopita.Aanayeshuhudia tukio hilo ni Afisa wa tawi la NMB House Jane Mubezina pamoja na mmoja wa maafisa wa Elimu.
 
Meneja wa tawi la NMB House  Bi. Benedictor Byabyato (kulia) akiwa pamoja na baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Victoria pamoja na Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Bw. Sufini Mbwambo (kulia) wakati wa makabidhiano ya madati yenye thamani ya shilingi milioni 5, jijini Dar es Salaam.
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Victoria wakiimba nyimbo kushukuru benki ya NMB kwa msaada wa madawati waliyotoa shuleni hapo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...