Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, June 3, 2013

MISS KIGAMBONI KUFANYIKA JUNE 7 MWAKA HUU




Katika harakati za kumpata mrembo wa taifa atakayewakilisha nchi katika mashindano ya urembo ya dunia, baadhi ya vitongoji vya DSM vinaendelea na maandalizi ya kupata warembo wake ambapo vitongozi wa SINZA na KIGAMBONI vitapata warembo wake juni SABA mwaka huu Somoe Ng'itu maribu wa Miss Kigamboni amsema shindano hilo litapambwa na bendi ya FC Academia litafanyika Kigamboni

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...