Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, June 29, 2013

GAPCO TANZANIA YAINGIA MKOA WA TANGA KUFANYA PROMOSHENI YAKE YA GAPCO RELSTAR


Mwakilishi wa Kampuni ya Gapco T LTD Bw. Atanas Jumbe kulia akimkabizi zawadi kwa Mwakilisha wa Ofisa utamaduni wa Mkoa wa Tanga Bi,Tima Koja wakati wa promosheni ya Gapco Relstar inayoendelea katika jiji laTanga jana eneo
picha na BLOG YA SUPER D
Mwakilishi wa Kampuni ya Gapco T LTD Bw. Atanas Jumbe kushoto akimkabizi zawadi kutoka Kampuni ya Gapco Tanzania Bw,Amoody Amiri Koja wakati wa promosheni ya Gapco Relstar inayoendelea katika jiji laTanga jana eneo
picha na
BLOG YA SUPER D

Wasanii wa  JCB Dominion wakitoa burudani wakati wa promosheni ya Gapco Relstar Oil inanayotengenezwa na Kampuni ya Gapco T LTD Eneo la Makolola  Tanga kutoka kushoto ni Omar Salimu na Jafari Halawi picha na Blog ya  Super D

Wasanii wa  JCB Dominion wakitoa burudani wakati wa promosheni ya Gapco Relstar Oil inanayotengenezwa na Kampuni ya Gapco T LTD Eneo laMkwakwani Tanga  kutoka kushoto ni Omar Salimu Halima Masoud na Jafari Halawi picha na BLOG YA SUPER D

Mwakilishi wa Kampuni ya Gapco T LTD Bw. Atanas Jumbe kushoto akimkabizi zawadi kutoka Kampuni ya Gapco Tanzania Bw, Keya Juma wakati wa promosheni ya Gapco Relstar inayoendelea katika jiji laTanga jana eneo kwa minji
picha na Blog ya Super D
Mwakilishi wa Kampuni ya Gapco T LTD Bw. Atanas Jumbe kulia akimkabizi zawadi kwa Mwakilisha wa Ofisa utamaduni wa Mkoa wa Tanga Bi,Tima Koja wakati wa promosheni ya Gapco Relstar inayoendelea katika jiji laTanga jana eneo
picha na
TANGA

Wawakilishi  wa Kampuni ya Gapco wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuingia Tanga kwa ajili ya promosheni ya Gapco relstar Oil

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...